playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Ooh sasa baba hajielew na mama hajielew Prince dully atakuwa mtoto wa aina gan? Hahahahahaha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaa NO FEAR..Uko tayari kuoga povu kutoka timu yake???
Hahahahahaa NO FEAR..Uko tayari kuoga povu kutoka timu yake???
Hivi unaijua Recognition wewe!? Ni zaidi ya pesa,kitendo cha Diamond kumkubali tu mtoto wa Hamisa hata asipotoa mia ni faraja kwa Hamisa,msituletee mambo yenu kuna tendo la siri ila hakuna mtoto wa siri watoto wote wote wote wana baba zao wawatunze wasiwatunze ni lazima wajulikane na sio kumkataa kataa kisa unaleta sent kumi zako
I just love them either but kwa hili amenidis a point sana, Mara mia angeendelea kukataa kkwenye media afu wakayamalizie home..siyo kwa kukataa kule aiseeIla hata kama ni muongo at least yeye ame dare to tell a tale. Mie namuonaga ni mkweli I lov them both kiba and dimond sina timu.
Ndo hapo tujue kuna main chick na side chick. Main chick hupendwa mnooo yani kwa nguvu zote.hahaaaaa He loves Zari saaana..........
sema mtoto wa Tandale alibugi akakutana na mtoto wa Tandika Hamisa
Kweli JF imevamiwa.Hakika Sijakua kama kukua ni kukataa mtoto mbele ya jamii.hakika sitakua maana nimefundishwa makosa mawali hayasawazi mambo, Pia kuheshim utu zaidi.na kukubali makosa.kdc, kumbe wewe ni kaka?! Kama ni kaka basi utakuwa kavulana fulani hivi ambae bado hujakua!!!
Alichofanya Diamond asilimia kubwa ya wanaume wakipiga mimba nje ndicho wanachofanya!!! There's no way mwanaume mwenye familia anaweza kukubali mimba kirahisi rahisi hadharani! Hata pale unapokuta mwanaume anafariki kisha wanajitokeza watoto wasiofahamika; kimsingi inakuwa ndo kama hivi! Kwamba, baba mpiga mimba anakubali ku-take responsibility with a condition iwe siri na wife asijue!!
Sasa tatizo linakuja kama uliyempiga mimba mwenyewe ni mwanamke mwenye tabia za kiswahili! Hata kama mmekubaliana, lazima atatafuta namna ya kumuonesha wife wako kwamba umezaa nae! Wife atavaliwa kanga za mafumbo hapo hadi atagundua tu kwamba hapa hali si hali!! Yaani kama alivyofanya Hamisa kwa ku-implement uswahili kidijitali!!!
😀😀Mkuu huo ndo mtandao mama hiyo mingine imekuja juzi tu, sasa kwann tusiuenzi??
Hivi kumkataa mtoto ni kutokumpost eeehIla
jamani Mobeto asingefanya vile Dai angeendelea kukataa mtoto.... ilibid afanye vile akubali mtoto hafichiki kama moto
Speak for yourselfTunaweza kumlaumu bure lakini alivyo Diamond ndivyo tulivyo wanaume wote, wanaume wote ni wasaliti, hakuna mwanaume ataishi katika maisha yake asimsaliti mke/mpenzi wake japo tunatofautiana kiasi cha usaliti, ukiona wewe hujawahi msaliti mkeo/mpenzi wako basi jua umerogwa au umesomewa albadir.
So we don't have reason to talk abt this?Hapo no2 mbona wanaume karibia wote wapo hivyo? wanasaliti hata wake zao wanaojulikana na muumba sembuse huyo anayejulikana na public
Nakuona ujueMwanaume machine..
Tena machine iwe AK-47.
fuatilia anachooandika Zari kwenye Snap Chat Yake ndio utajua kuwa ameamua kumwaga manyanga kistaarabu..
Wewe siasa zimekiharibu aisee
Eti Zari oyeeeeee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aisee.Nimeona
Eeeeeeh
Niache mimi niburudike na kusoma umalaya wa Diamond.
Kwani si kweli?Nakuona ujue
Au nimeongopa mkuu