Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Chibu sio mjinga unafikiri mpaka hapa ilipofikia hajasawazisha kwa zari? mapenzi hayana fomula usijifanye sheikh yahaya utaumbuka...
 
Nachelea huyu dogo ataachwa kwenye taa vibaya kabisa. Kwasasa ajiweke sawa km aliwekeza chochote kwa yule mganda ataomba poo,awahi kufata ushauri kaburini kwa Ivan
 
Mkuu inaonyesha umedata na hayo mapozi kwenye picha...ouky BTW mobeto ni mzur mno.
 
Tusi judge sana kwa kusikiliza stori upande mmoja ngoja Hamisa aitwe tubalance story tuone Nani mjinga kati Yao usikute ahadi zilikuwa hewa hazikutimilizwa je
Au aliahidiwa makubwa zaidi je tuliza munkari
Katika tasnia hii ya mapenzi Diamond sijawahi sikia madem zake wakilalamika kuhusu huduma...

Sana sana wao ndo huishia kumtenda...
 
Mbona Kama umekurupuka kijana. Khaaa! Ulijuaje? Uongo tuuuuuu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…