Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Kama atathibitisha kuzaa na Hamisa nadhani ndio utakuwa mwanzo wa kuanza kuporomoka kisanii. Watu wengi sana wameumizwa na hili suala. Na wengi sana walimpenda Diamond alivyokuwa na msimamo juu ya Zari. Lakini kuzaa na Hamisa ni kama kumtusi Zari. Binafsi nitakuwa hater wa Diamond endapo atathibitisha kuzaa na Hamisa.
Chibu sio mjinga unafikiri mpaka hapa ilipofikia hajasawazisha kwa zari? mapenzi hayana fomula usijifanye sheikh yahaya utaumbuka...
 
Nachelea huyu dogo ataachwa kwenye taa vibaya kabisa. Kwasasa ajiweke sawa km aliwekeza chochote kwa yule mganda ataomba poo,awahi kufata ushauri kaburini kwa Ivan
 
Kiukweli licha ya kutoipenda couple ya Dai na Mobeto lakini huyu Mobeto anaonekana ni mtamu sana kitandani kuliko mademu wote aliotoka nao Diamond.

Licha ya Mobeto kutokuwa na sifa ya wife material kutokana na ukweli kwamba ni mfujaji hodari wa mali , kupenda starehe kupindukia pia uswahili uliomjaa lakini ukweli unabaki pale pale huyu Mobeto ni moto wa kuotea mbali likija suala zima la kitandani .

f6b4e9e60d5bbe7b1c883c1e454ca087.jpg




f686264431872527f33f9b9203de5afa.jpg



e62b33de51bbaed380ee7f7d207c107b.jpg



Hawa wengine kama vile Wema,Wolper ,Zari ,Penny ,Jokate nk ni wazuri pia ila kwa Mobeto wanasubiri sana .

Ila yote kwa yote Mobeto ni msichana wa Ku eat and run si msichana wa kumuweka ndani kama mke.
Mkuu inaonyesha umedata na hayo mapozi kwenye picha...ouky BTW mobeto ni mzur mno.
 
Tusi judge sana kwa kusikiliza stori upande mmoja ngoja Hamisa aitwe tubalance story tuone Nani mjinga kati Yao usikute ahadi zilikuwa hewa hazikutimilizwa je
Au aliahidiwa makubwa zaidi je tuliza munkari
Katika tasnia hii ya mapenzi Diamond sijawahi sikia madem zake wakilalamika kuhusu huduma...

Sana sana wao ndo huishia kumtenda...
 
Back
Top Bottom