Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Ile series kali ya diamond platnumz na hamisa mobetto plus Zari bado inaendelea. cheki wasanii na wanasiasa jinsi walivyotoa maoni yao kuhusu movie hii ya THE RISE OF PRINCE DULLY

 
Mpaka sasa hivi bado sijaona msanii maarufu hapa Tz kama Diamond, kwa hii skendo tu eti hadi BBC ya kiswahili wamemuandika huko kwenye page yao ya facebook!

Yani Diamond ndio wa kuwafanya watu kuacha kazi zao na kukodolea macho katika tv kwel?
 
Unajua wamekuwa wakikutetetea sana kwa hali na Mali lakini haubebeki. Kiukweli unawatesa na huku mtaani tumebaki tunamuona timu Diamond kama zezeta Fulani kwani kwa namna unavyowachezea akili na kuwafanya kama hawanazo, inahitaji akili ya tope kwa MTU kuwa shabiki wako.

Nimeamua kuongea kwa ufupi ila najua ujumbe umefika barabara
 
Dada yako akienda kumtunza tuu staging,jiandae kulea mjomba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…