Diamond sasa anawakilisha wakware,wachepukaji,wazinzi,waliozaa nje ya ndoa...wasiotumia condom...
ni chereko kwenye hii jamii ya 'Bahati mbaya' au 'shetani alinipitia' au 'na mie ni binadamu'
tena.. 'nitatembea kwa magoti hadi south..'
na kama haitoshi... 'mke wangu (zari) ni mwelewa ndio maana nampenda zaidi..' by Diamond
wa kutafuta vitabu unafanya nini hukuAaaghh,anawasimamisha nyie washamba wenzie msio na kazi kutwa kutafuta umbea mitandaoni.niache kutafuta vitabu vya kina G White na Ben Carson au Economics portals nitafute habari za watu kuzini.sucker?
Mtoto mwingine wa Diamond wa nje ya ndoa huyu hapa...
[emoji106]Aaaghh,anawasimamisha nyie washamba wenzie msio na kazi kutwa kutafuta umbea mitandaoni.niache kutafuta vitabu vya kina G White na Ben Carson au Economics portals nitafute habari za watu kuzini.sucker?
Ni wimbo pekee alioutunga akiwa ametulia.....it's my favorite!Penda kazi zake mengine waachie wema, dilish, hamisa, zari na wasiojulikana.
Tena nina imani atavandika ngoma kali kama "ukimuona" kutokana na hili tukio
Dahhhh!!!!Kwny Page za Instagram hadi nachoka!
Habari ya Daimond unakuta mpka comments 10,000
Lakin habar ya Lissu kupigwa risasi haikuzid comments elf 2 kwny Page za Watu Maarufu!
Wa Tz tumeridhika na Life letu
Inamaana mpaka umekuja kuchangia kwenye huu Uzi ni uthibitisho tosha kuwa huwa unamfatiliaAaaghh,anawasimamisha nyie washamba wenzie msio na kazi kutwa kutafuta umbea mitandaoni.niache kutafuta vitabu vya kina G White na Ben Carson au Economics portals nitafute habari za watu kuzini.sucker?
Heading inahusu Diamond umekuja Mbio kusoma Umbea halafu unajifanya kutukana Wambea!Aaaghh,anawasimamisha nyie washamba wenzie msio na kazi kutwa kutafuta umbea mitandaoni.niache kutafuta vitabu vya kina G White na Ben Carson au Economics portals nitafute habari za watu kuzini.sucker?
Mkuu unaposema nchi kusimama unaamanisha nini watu awakufanya kazi Leo au Nyie wa vijiweni Leo amkutokaMpaka sasa hivi bado sijaona msanii maarufu hapa Tz kama Diamond, kwa hii skendo tu eti hadi BBC ya kiswahili wamemuandika huko kwenye page yao ya facebook!
Yani Diamond ndio wa kuwafanya watu kuacha kazi zao na kukodolea macho katika tv kwel?
Dahhhh!!!!
Anakwambia aliuandika akiwa kwenye ndege anaelekea UK baada ya kukorofishana na wemaNi wimbo pekee alioutunga akiwa ametulia.....it's my favorite!
Mwambie aende tena kuangalia Views hahahaUnaongelea ukiwa wapi kwa mfano, unaposema nyimbo za diamond zimezima? watu wana rindima na zilipendwa huku kijijini, mambo ya seduce hawajui ndo nini, seduce huko kwenu Bongonyo tu.
Yet you're here commenting about what took place.Aaaghh,anawasimamisha nyie washamba wenzie msio na kazi kutwa kutafuta umbea mitandaoni.niache kutafuta vitabu vya kina G White na Ben Carson au Economics portals nitafute habari za watu kuzini.sucker?
Leo mimi naona winner mond.And the winner is Mobeto