Kweli JF imevamiwa.Hakika Sijakua kama kukua ni kukataa mtoto mbele ya jamii.hakika sitakua maana nimefundishwa makosa mawali hayasawazi mambo, Pia kuheshim utu zaidi.na kukubali makosa.
So kabwe sitaweza kukua maana siwezi kumkana mwanangu na baada miaka kumi tu atakuja kusikia na kuona baba yake nilimkana mbele ya jamii na itamfanya kushindwa kubeba ubini wangu kwa kujiamini mbele za watu.
Kukua ni kuishi kwingi na kuishi kwingi ni kuona mengi!!!
Walioona mengi wote wanafahamu kwamba HAKUNA MWANAUME MWENYE FAMILIA ambae eti atakuwa tayari kukubali kupiga mimba nje tena wakati jambo lenyewe likiwa bado bichi!!!
Wote waliokua na kuona mengi wanafahamu kwamba wanaume wengi wamezaa nje ya ndoa zao lakini kwa muda mrefu inabaki siri isiyofahamika na mke/hawara halali wa mpiga mimba!!!
Waliokua na kuona mengi wanafahamu kwamba wanaume huu wakilikoroga wanachofanya ni ku-accept full responsibility na kuendesha mengine kimya kimya! Na ni kutokana na ukweli huu ndio maana watoto wengi wa nje ya ndoa huwa wanaungana na familia ya baba wakati wameshakuwa wakubwa. In most cases, above 10 years!!!
Kwamba huwezi kumkana mwanao naona unapindisha ukweli! Hakuna aliyesema suala la kumkana mtoto hapa kwahiyo usipende kupotosha!!! Hoja ni kwamba, mwanaume aliyepiga meechi za mchangana atafanya siri inayofahamika na yeye, hawara aliyepigwa mimba, ndugu wa hawara, na ndugu wa mume peke yake. Atakayefichwa hapa ni mke na familia yake na lengo kuu ni kutoleta mgogoro wa kifamilia!!
Na hicho ndicho alichofanya Diamond! Alikubali mimba from the beginning, familia yake ilifahamu na familia ya Hamisa alifahamu! Alichofanya yeye ni kujaribu kumficha Zari!!!
Kwavile Diamond ni public figure, kingine alichofanya ni kuificha jamii kwa sababu, kuifahamisha jamii ingekuwa ni sawa na kumfahamisha Zari sekunde hiyo hiyo!!!
Sasa kama yote hayo huyafahamu nashindwaje kukuambia inawezekana hujakua?! Hata wanawake wenyewe endapo tunatoa suala la u-team hapa wote wanaweza kukubaliana na Mond unless mwanamke mwenyewe awe ni aina ya Hamisa! Watakubaliana na Mond kwa sababu, unaweza kuta miongoni mwao tayari wamezaa na mwanaume mwenye familia lakini bado hiyo ni siri ambayo mke hafahamu!!!
Kutokana na hilo, ndipo hatimae utafahamu JF imevamiwa na nani hasa! Mtu kama mimi au wewe!!!!