Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Nadhan diamond ni mtu wa pili kwa umaarufu Tanzania baada ya magufuli
 
Wajikite kwenye kazi zake sio maisha yake binafsi wataumia kajamaa kapenda penda sana uswahili mwingi.
 
Aaaghh,anawasimamisha nyie washamba wenzie msio na kazi kutwa kutafuta umbea mitandaoni.niache kutafuta vitabu vya kina G White na Ben Carson au Economics portals nitafute habari za watu kuzini.sucker?
G white? sawa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…