Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Huyo ndio Mondi bhana angekuwa Kibakuli watu wasingejisumbua kumsikiliza.Naona watu hadi wanapigiana cm ili wasikie mondi atajielezaje leo, kwa namna hii, naona mondi anakuwa kama sijui nani vile, attention imekuwa kubwa!
Swali zuriUnataka ujue saizi ya uume wa mwanaume mwenzio ili iweje?
Kama atathibitisha kuzaa na Hamisa nadhani ndio utakuwa mwanzo wa kuanza kuporomoka kisanii. Watu wengi sana wameumizwa na hili suala. Na wengi sana walimpenda Diamond alivyokuwa na msimamo juu ya Zari. Lakini kuzaa na Hamisa ni kama kumtusi Zari. Binafsi nitakuwa hater wa Diamond endapo atathibitisha kuzaa na Hamisa.
Dah atafute watu average aolewe hawa masuper star atabaki kuwa side chickMaskini hamisa polee hii nyota yako ni mbaya
Unaongelea ukiwa wapi kwa mfano, unaposema nyimbo za diamond zimezima? watu wana rindima na zilipendwa huku kijijini, mambo ya seduce hawajui ndo nini, seduce huko kwenu Bongonyo tu.Seduce me haijahitaji kiki kufika 5M views ndani ya 18 days, kwakweli kiba na mama yake wanabusara sana sio bi Sandra kila mkwe ye anampokea anakuwa upande wake, domo anapotea so far nyimbo zake week tu zinazima
Nyota yake haina shida,mushkeli uko kichwani mwake.demu wakawaida kama yule kuwa na umaarufu alionao ni nyota tosha.Maskini hamisa polee hii nyota yako ni mbaya
hayo matangazo sasa ataanza kuongea saa sita nafikiri mpaka wanaboa
Hahah mwanaume gani atamuoa, juzi majay alilalamika kwamba hamisa bado anamng'ang'aniaDah atafute watu average aolewe hawa masuper star atabaki kuwa side chick
Hongera Hamisa usingevujisha picha, Diamond asingekubali. Finally kanyooka kama shati na sketi ya shule enzi zile.
Pole mi sipo huko kubishana endeleeni kuburudika na nyimbo mnazozipenda, cheersUnaongelea ukiwa wapi kwa mfano, unaposema nyimbo za diamond zimezima? watu wana rindima na zilipendwa huku kijijini, mambo ya seduce hawajui ndo nini, seduce huko kwenu Bongonyo tu.
Kiba ni mwanaumeHahaha after this sitaki tena kufatilia maisha ya wasanii, I think kiba yupo sahihi kuficha maisha yake