Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Maoni yangu:
Mi nimefurahi aisee daimond kukubali mtoto maana haiwezekani wanawake wa Tz washindwe kuzaa na daimond
Hamisa nakushauri najua daimond anapenda k akija mtegeshee nyingine uzae mwingine wa pili haraka haraka hata watatu umzidi zari halaf sasa funga kizazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umaarufu wa nini that's the question..
Nyota gani kupata wanaume wenye hela ila kuishia kuzalishwa, mwenzetu anatumia kizazi chake kumuweka mjini lol
Ndo maana nkasema bahati anayo,alichokosa ni akili na stara,huwezi ukawa na akili ukapata wanaume wa kukulea,kukutunza na kukupa nafasi ya kupata mtaji wa kufanya biashara alafu bado ukaharibu.inamaana huyo anataka kuishi kwa kutegemea punani tu.
 
Nlipitwa hiyo ya majay kulalamika..... ilikuaje?
Duh juzi mpoky kasema si unajua look hanaga break ya mdomo, kumbe majay analalamikaa, siku ya bday hamisa alitaka wakumbushie hehhe ila Lulu anabana kila kona, yani hamisa kula yake ni kupitia wanae lol
 
Hakukua na sababu ya Mond kumkataa mtoto anayempa huduma kwa maneno ya kinywa chake redioni. Kitendo kile ni bora hata hiyo huduma asingetoa kwa maana hata mtoto akikua atayakuta haya tunayoyafanya Leo kwenye social media na huo uhusiano wa baba na mtoto unaousema hapa hautokua mwema si kwa sababu ya Hamisa ila ni kwa sababu ya Diamond mwenyewe, kwa maana hakuna sehemu Hamisa aliyomtukana Diamond ila Mond amenukuliwa mara kadhaa akimtukana Hamisa na mwanae.
N.B mtoto atakua tu hata bila huduma ya baba,wanawake wa Leo sio wa mwaka 47 umshushie kichapo alafu avumilie tu kisa anawaza watoto atawapeleka wapi
Daah Dada uko vzr
 
Ni muda tu,soon mtoto wa pili anakuja. Na kwa nini alitaka mwanae awe private ? Tofauti ya Dully na wa South Africa ni nini ?
Hata Mimi hapa najiuliza! Kwa hiyo alitaka Hamisa aendelee kutukanwa ili yeye apone!? Sijawahi ona mwanaume mjinga kama huyu kwa kweli haya ngoja tungojee na kwa Dilish Mathew. Kweli kuna umuhimu mkubwa sana kwa Mtoto wa kiume kulelewa na Baba maana Diamond angelelewa na babake asingeshikiwa akili na mwanamke hata siku moja
 
Moja Ya interview za kiutu uzima alizo wahi kufanya Diamond HII NDIO YA KWANZA
Kabisa...amefanya vizuri na pia kulinda jina namziki wake lakini wadhamini wake pia...unajua uongo ukisema sana unakuwa ukweli..mtu unapewa laki tano kila wiki
Rav4mpyaa mil 25.
Ukapewa mil 7kununua mapocho pocho ya mtoto
Na milioni nne za hosp.. Nk nk...halafu bado unavujisha..hako kabinti kamejiharibia..
 
Kama atathibitisha kuzaa na Hamisa nadhani ndio utakuwa mwanzo wa kuanza kuporomoka kisanii. Watu wengi sana wameumizwa na hili suala. Na wengi sana walimpenda Diamond alivyokuwa na msimamo juu ya Zari. Lakini kuzaa na Hamisa ni kama kumtusi Zari. Binafsi nitakuwa hater wa Diamond endapo atathibitisha kuzaa na Hamisa.
Ameshathibitisha mkuu
 
Tutamlaumu Diamond kwa sababu tuko Jukwaan hapa

Mwanaume gan yuko taya kukir hadharani kwamba amezaa nje ya ndoa yake in Public?
Mwanamke Gan yuko tayar Mumewe Akiri hadharani kwamba ana mtoto nje ya ndoa?

Clinton Alicheat kabisa kwa Monica lakin Hillary mpka kesho hawez kuja kusema mumewe alicheat.
Diamond ameshakir so what next?
 
Back
Top Bottom