Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Mleta mada inaelekea ushampiga bao kadhaa za chooni ndio ukaandika hapa. Hizi threads za nyege hizi.
 
Baadhi ya maneno ya Diamond kwenye kipindi cha Leo Tena kupitia Clouds Fm...

Lakini pia wamesema watamtafuta na Hamisa Mobeto ili kuwe na usawa katika mahojiano hayo maana kwasasa itaonekana pande moja ndio imehojiwa alafu wengine hawajahojiwa inakua sio sawa...


View attachment 591628View attachment 591629View attachment 591631View attachment 591632View attachment 591633View attachment 591635View attachment 591636View attachment 591637View attachment 591639View attachment 591640
Ngoja tuone kesho Hamisa nae atasemaje...
Je kuna utofauti na alivyosema jamaa leo...
 
Nyoo unadhani kuchuna pesa ndefu ni kazi rahis?!!hamisa unaona from 5m kaambulia laki 2...
Kuchuna mtu usiweke shida mbele, kwanza u need to convince the man ur worthy to spend on mda wote huo ishu za hela usitaje kabisaa mana hamna anaependa kupendewa pesa etii...ss how u disguise it ndo mtihani
Sasa hamisa c anajua jamaa ana mke cjui mzazi mwenzie wanaishi wote yy yupo km mchepuko tu kaambiwa afikirie biashara gani ya kufanya kazubaa tu kapewa gari akawa anapewa almost lak5 kwa wk kazubaa tu kaambiwa apige kimya kakubali bt kupitia kazubaa kwake kayatoa maneno nje sasa unataka nn diamond alijionyesha kua yupo tayari kuweka pesa kwa hamisa ila yy akaona kuwafitinisha na zarina ndo litakua swala jema kwake
 
Kweli misichana ya kiswahili ni mipumbavu kabisa. Yaani hicho kichangudoa Misa kilazimishe kuolewa kwa kujenga fitina katikandoa ya mtu? Umalaya na upumbvu wa kshamba sana.

Inaonekana huyo misa yuko desperate sana kwamba hakuna mwanaume anamtaka sasa anajilazimisha kwa nasibu. Hivi mwanume anasema hakutaki, wewe unafanya kila hila ili akuoe, huo siyo umaskini wa kipumbavu uliokithiri?

Anataka kuolewa na Nasibu kwa kuwa nini hata anapokataliwa?

Kwanza namshauri Diamondo asikubali kuingia kicwa kichwa. Huyu mtoto inawezekana ni wa masela fulani ndiyo sababu akalazimishiwa ngono uzembe na kubambikwa mimba hapo hapo. Akapime DNA. Malaya haamiki. Kupima DNA siyo kumdhalilisha mtoto lakini ni kuthibitisha kauli za malaya kama hicho kitoto.

Ndoa ipi Mondi aliowa lini? Hata miezi Sita kukaa pamoja hawajawahi zaidi ya wiki 2
 
Lingine litakuwa la dillish methew natabiri: dilish atatumika kama video queen wa wimbo wowote mpya wa diamond then safari ya mapenzi itaanzia rasmi hapo japo kwa siri sana
Safari ya mapenzi ipi tena?hivi kulala na m'ke chumba kimoja zaidi week
1 hotel tofauti bado unasubur flash light uamini ndo umepigwa picture?
 
Kwa hiyo Hamisa kosa lake ni nini?
Tena madale wanamshukuru sana Hamisa kwa kufanya vile maana sasa wana Uhuru na mtoto wao.
Wewe unadhani Diamond angekubali lini ?
Kumwambia zari kamwambia juzi baada ya kutangazwa kwa interview,
Hela si chochote ila Uhuru na mtoto ndiyo muhimu.
 
Back
Top Bottom