Odemba hakumbana Lema kwa maswali magumu, infact yeye ndie alikuwa akiogopa majibu magumu, kumuuliza mtu swali halafu humpi nafasi ya kutosha kukujibu, huo ni uoga wa muuliza swali, sio ujanja.Ameingia mitini...[emoji23][emoji23]
Lema nilikuwa nashiriki nae mjadala kule Clubhouse, Jamaa huwa hana hoja zaidi ya kupayuka tu, Juzi kati aliitwa tena Star Tv yule Odemba kambana maswali akabaki anajiuma uma tu
hapo ameona angebanwa na kuishia kujisemea hawa Clouds ni wakala wa CCM, wanatumiwa ....
Clouds acheni kujishusha aisee ,mnakubalije kufanya mahajiano na kiumbe ambae mdomo wake hauna brake?Clouds FM imetangaza kuwa yale Mahojiano yao na Godbless Lema yamehairishwa.
Clouds FM wamsema mahojiano hayo yamehairishwa baada ya Godbless Lema kupatwa na dharura hivyo kuomba mahojiano hayo yasogezwe mbele
View attachment 2930946
Pia Soma: Godbless Lema kutikisa Power Breakfast
Clouds FM imetangaza kuwa yale Mahojiano yao na Godbless Lema yamehairishwa.
Clouds FM wamsema mahojiano hayo yamehairishwa baada ya Godbless Lema kupatwa na dharura hivyo kuomba mahojiano hayo yasogezwe mbele
View attachment 2930946
Pia Soma: Godbless Lema kutikisa Power Breakfast
Clouds FM imetangaza kuwa yale Mahojiano yao na Godbless Lema yamehairishwa.
Clouds FM wamsema mahojiano hayo yamehairishwa baada ya Godbless Lema kupatwa na dharura hivyo kuomba mahojiano hayo yasogezwe mbele
View attachment 2930946
Pia Soma: Godbless Lema kutikisa Power Breakfast
Anayeandika yamehairishwa ni mwandishi wa habari! ππ"yamehairishwa".
yameahirishwa.
Msaliti mkubwa ni elimu yake...Ameingia mitini...ππ
Lema nilikuwa nashiriki nae mjadala kule Clubhouse, Jamaa huwa hana hoja zaidi ya kupayuka tu, Juzi kati aliitwa tena Star Tv yule Odemba kambana maswali akabaki anajiuma uma tu
hapo ameona angebanwa na kuishia kujisemea hawa Clouds ni wakala wa CCM, wanatumiwa ....
Clouds FM imetangaza kuwa yale Mahojiano yao na Godbless Lema yamehairishwa.
Clouds FM wamsema mahojiano hayo yamehairishwa baada ya Godbless Lema kupatwa na dharura hivyo kuomba mahojiano hayo yasogezwe mbele
View attachment 2930946
Pia Soma: Godbless Lema kutikisa Power Breakfast
Bora umemrekebisha. Ameandika broken sana"yamehairishwa".
yameahirishwa.
Sasa mbona hawakukuita wewe mwenye brake? Hujioni kuwa wewe ndio takataka?Clouds acheni kujishusha aisee ,mnakubalije kufanya mahajiano na kiumbe ambae mdomo wake hauna brake?
πππππMpiira kwapani....
Oh ,kumbeSasa mbona hawakukuita wewe mwenye brake? Hujioni kuwa wewe ndio takataka?
Zaidi ya kunukuu vifungu vya biblia na kudhani kila anayekufa ni kwa sababu ni mdhambi hanaga jipya. Pia ni mtaalamu wa kiingereza kibovuAmeingia mitini...ππ
Lema nilikuwa nashiriki nae mjadala kule Clubhouse, Jamaa huwa hana hoja zaidi ya kupayuka tu, Juzi kati aliitwa tena Star Tv yule Odemba kambana maswali akabaki anajiuma uma tu
hapo ameona angebanwa na kuishia kujisemea hawa Clouds ni wakala wa CCM, wanatumiwa ....
ingekua yule kibaraka mwenzie mkubwa ungesiki amebanwa na ratiba nyingi alizonazo,Clouds FM imetangaza kuwa yale Mahojiano yao na Godbless Lema yamehairishwa.
Clouds FM wamsema mahojiano hayo yamehairishwa baada ya Godbless Lema kupatwa na dharura hivyo kuomba mahojiano hayo yasogezwe mbele
View attachment 2930946
Pia Soma: Godbless Lema kutikisa Power Breakfast