Mahojiano ya Lissu: Hoja tatu kuhusu Abdul kumtembelea nyumbani kwake

Mahojiano ya Lissu: Hoja tatu kuhusu Abdul kumtembelea nyumbani kwake

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,117
Reaction score
3,153
Abdul alipokutana na Rais wa Uganda, nlimsema sana kwenye mikutano yangu, Abdul alitaka kujua kwa nini nilimsema, nilimwambia hii sio nchi ya kifalme au kimalkia hadi wewe ukaiwakilishe nchi, Mama yako ni Rais sio Malkia, wa hiyo wewe sio wa kuiwakilisha nchi popote.

1. Kuhusu hoja ya Abdul kupelekwa kwa Lissu na watu wema ama Wasamaria kama alivyowaita.

Kwanza, lazima mhusika ajiulize, huyo au hao watu wema/wasamaria ni nani/akina nani?

Automatically, kama alivyosema ni wenzake na kwa uthibitisho nilionao ni wakubwa wenzake na Lissu ndani ya Chadema.

Sasa kama hao WEMA ni wenzake, huwezi kuona ni kwa kiwango gani Lissu analitumia jina la wema ama wasamaria kinafiki,kama kweli ni watu wema, kwa nini aliukataa huo mpango wa wema wao!?

Kama kweli ni wema, mbona wameingia mahusiano ya kufuatana na Mtoto wa Mama ambaye anaongoza Chama ambacho ni adui namba moja wa Chadema.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Abdul alitaka tukutane kwenye hoteli moja Masaki anihonge, nikamwambia njoo kwangu

Kama kweli mhusika/wahusika ni wema mbele ya Lissu kama huyu anavyomaanisha, mbona Chadema ipo vipande viwili sasa na hakuna maelewano totally?

Kama kweli aliye/waliompeleka Abdul ni wema, mbona wamepeleka Rushwa/Hongo kwa Kiongozi wa Chama Kikuu cha upinzani?

Kama kweli Lissu anamaanisha huyo/hao ni mwema/wema mbona aliamua KUTEMBEA hadharani akiomba michango ya kununuliwa gari na akaacha fedha za wema waliotaka akanunue gari jipya?

2. Kuhusu hoja ya Mama za Barua za Lissu kulipwa gharama zake za matibabu.

Kimsingi huu ndio uliokuwa msimamo wa Lissu kwamba, sitaki hizi fedha haramu mlizoniletea, badala yake kama kweli mnanionea huruma, nenda umwambie mama yako anilipe zile gharama zangu za hospital.

Abdul akasema, Mama anasema hujaandika Barua, naye Lissu akamjibu, nilishaandika mpaka sasa zimefika Barua 2 na hapo hapo Video inaonyesha Lissu akimpa nakala ya Barua mojawapo ili Abdul ampelekee Mama yake.

Wakati, hilo jinga lingine la Chadema lilikuwa limezubaa jinsi Lissu anavyoweka msimamo.

3. Hoja ya tatu ni kuhusu assumptions za mtoa hoja kwamba, huenda Abdul alimdanganya mkubwa wa CHADEMA kwamba anampelekea hela za matibabu.

Kwa jinsi ambavyo Tundu Lissu ameelezea kwamba kuna watu wema ndani ya Chadema walimpeleka Abdul nyumbani kwake, basi Chadema kuna watu wajinga na hizi ndio aina ya akili za baadhi yao.

Yaani fedha za malipo ya matibabu ya Lissu zipekekwe kwa Lissu sebuleni zikiwa kwenye bahasha; tena Kiongozi wa juu ndani ya chadema asijue kwamba, malipo ya fedha za serikali yanafanyika kwa mujibu wa Sheria na sio mkononi.

Lakini pia, kama sio akili za kijinga, unawezaje kufikiria jambo kama hili hata usijiulize kwamba, kama kweli yale yalikuwa malipo ya matibabu ya Lissu;

1. Kwa nini yapelekwe kwa Lissu yakiwa kwenye bahasha?
2. Kwa yapelekwe kwa Lissu na Mtoto wa Mama asiye na cheo chochote Serikalini? Huyu kiongozi wa juu wa Chadema alikuwa Bogus kiasi gani mpaka aamini zile ni fedha za malipo ya aliyekuwa Mbunge? Hata sio Waziri, Kiongozi wa Bunge, Mkuu wa Wilaya wala hata (Abdul) sio Mfagizi wala Shamba Boy kwenye Ofisi yoyote ya Serikali.

Punguzeni ujinga huu wa rejareja mkisaidie Chama chenu kinaelekea kufa.
 
Duh

Yesu alisema " hakunaga aliye MWEMA isipokuwa Mungu wa mbinguni pekee"

Tundu Lisu katumia neno " Wema" kutuma Ujumbe ambao matutusa hamuwezi kuung'amua isipokuwa sisi wanafalsafa 😂😂
 
Kuna watu tumekuwa tukikipambania Chama hiki kwa kuweka rehani roho zetu kwa sababu tuliamini kina nia njema na sahihi ya kuiondoa CCM madarakani kumbe ni Biashara za watu kupiga fedha.

Mkuu! Ukiwa Kiongozi Mstaafu wa Chama hiki kwenye level fulani, hata ukistaafu, unapaswa ku-support chama kwa kila hali na mali ikiwemo michango ya hapa na pale ili kujenga chama.
Sa

Just Imagine, huku chini watu tunajikamua na kutumia muda mwingi kuhakikisha chama kinaonekana ili hali huko juu ni full maushenzi.

Yaani ni watu kadhaa pekee wanaonekane kuwa strong na kusimama katika kweli.
 
ukitokea msiba ama mchango wa Maendeleo kwenye eneo lako, watu hawataki kujua unapitia mapito gani, wanataka kusikia Kiongozi ametoa viroba vingapi vya Michele kilo 25 ama ametoa mifuko mingapi ya cement.

Na hii yote mnakuwa mnajikaza ili kujijenga Chama kwenye eneo husika na kujitofautisha na CCM kwenye eneo husika.

Sasa kwa ushenzi wa aina hii wa kuletewa milioni mia wakati wengine tunajonyima kuchangia chama,hivi kweli unaweza kuendelea kufanya struggle for nothing?
 
Mfano wewe ni

1. Mjumbe wa Mkutano Mkuu CHADEMA Taifa
2. Mjumbe wa Baraza Kuu CHADEMA Taifa.
3. Vikao vyote vya maamuzi ya mwisho kwenye Kanda na Mkoa ni ya CHADEMA.
4. Mwenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Wilaya
5 Katiba BAVICHA Wilaya.
6. Katibu Mwenezi wa CHADEMA Kata

Unaambiwa pambana kamanda kumbe viongozi wenu wa juu wanaletewa mabilioni kama mjumbe alivyomwambia Lissu kuwa fulani kapewa hela na Abdul na list ni kubwa ndio maana na yeye Makamu kutembelea na upendo wa Abdul.
 
Bahati nzuri ni kwamba; wote kuanzia Mbowe, Mnyika, Lissu, Kigaila, Salum na wengineo wote wanaona anachokisema Lissu wanamsikia anachokisema.

Hayupo mwenye ubavu wa kukanusha ukweli huu mchungu.
 
Kama ningeambiwa haya maneno na mtu/watu; hakika ningepuuza kama ambavyo nilikuwa napuuza mengi huko nyuma.

Lakini naona kabisa VIDEO ya mhusika ndani ya Chama akiwataja wenzake mbele ya Lissu ili Lissu naye achukue mgao wake, halafu;

Hapo hapo, Lissu mwenyewe tena ambaye ni Kiongozi wa juu wa Chama na Role model wangu kwenye masuala ya kisiasa na kisheria anazungumza hadharani;

Bado niendelee kuona kama ninachokifanya ni sahihi na kitatoa matokeo chanya; kama huo sio ushenzi ni nini?
 
Tuanzie kwa huyo mgawa fedha amezitoa wapi? Huyo anayemtuma ni nani? Je kwa utambulisho wake bado wataaminiwa kweli?
 
Sasa mbona unaanzisha mada na kuanza kucomment mwenyewe bila brake? Punguza chuki na hasira.
 
Unaanzisha mada huku una uchungu moyoni huwezi kuwa sahihi. Andika up ya ukiwa haina uchungu moyoni. Maana umejaa malalamiko na masimango.
 
ukitokea msiba ama mchango wa Maendeleo kwenye eneo lako, watu hawataki kujua unapitia mapito gani, wanataka kusikia Kiongozi ametoa viroba vingapi vya Michele kilo 25 ama ametoa mifuko mingapi ya cement.

Na hii yote mnakuwa mnajikaza ili kujijenga Chama kwenye eneo husika na kujitofautisha na CCM kwenye eneo husika.

Sasa kwa ushenzi wa aina hii wa kuletewa milioni mia wakati wengine tunajonyima kuchangia chama,hivi kweli unaweza kuendelea kufanya struggle for nothing?

..ili kupata ukweli basi Abduli ahojiwe.

..haiwezekani Abduli atuhumiwe mambo makubwa hivi halafu asitafutwe na vyombo vya habari kutoa maelezo kuhusu tuhuma hizo.
 
Abdul alipokutana na Rais wa Uganda, nlimsema sana kwenye mikutano yangu, Abdul alitaka kujua kwa nini nilimsema, nilimwambia hii sio nchi ya kifalme au kimalkia hadi wewe ukaiwakilishe nchi, Mama yako ni Rais sio Malkia, wa hiyo wewe sio wa kuiwakilisha nchi popote.

1. Kuhusu hoja ya Abdul kupelekwa kwa Lissu na watu wema ama Wasamaria kama alivyowaita.

Kwanza, lazima mhusika ajiulize, huyo au hao watu wema/wasamaria ni nani/akina nani?

Automatically, kama alivyosema ni wenzake na kwa uthibitisho nilionao ni wakubwa wenzake na Lissu ndani ya Chadema.

Sasa kama hao WEMA ni wenzake, huwezi kuona ni kwa kiwango gani Lissu analitumia jina la wema ama wasamaria kinafiki,kama kweli ni watu wema, kwa nini aliukataa huo mpango wa wema wao!?

Kama kweli ni wema, mbona wameingia mahusiano ya kufuatana na Mtoto wa Mama ambaye anaongoza Chama ambacho ni adui namba moja wa Chadema.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Abdul alitaka tukutane kwenye hoteli moja Masaki anihonge, nikamwambia njoo kwangu

Kama kweli mhusika/wahusika ni wema mbele ya Lissu kama huyu anavyomaanisha, mbona Chadema ipo vipande viwili sasa na hakuna maelewano totally?

Kama kweli aliye/waliompeleka Abdul ni wema, mbona wamepeleka Rushwa/Hongo kwa Kiongozi wa Chama Kikuu cha upinzani?

Kama kweli Lissu anamaanisha huyo/hao ni mwema/wema mbona aliamua KUTEMBEA hadharani akiomba michango ya kununuliwa gari na akaacha fedha za wema waliotaka akanunue gari jipya?

2. Kuhusu hoja ya Mama za Barua za Lissu kulipwa gharama zake za matibabu.

Kimsingi huu ndio uliokuwa msimamo wa Lissu kwamba, sitaki hizi fedha haramu mlizoniletea, badala yake kama kweli mnanionea huruma, nenda umwambie mama yako anilipe zile gharama zangu za hospital.

Abdul akasema, Mama anasema hujaandika Barua, naye Lissu akamjibu, nilishaandika mpaka sasa zimefika Barua 2 na hapo hapo Video inaonyesha Lissu akimpa nakala ya Barua mojawapo ili Abdul ampelekee Mama yake.

Wakati, hilo jinga lingine la Chadema lilikuwa limezubaa jinsi Lissu anavyoweka msimamo.

3. Hoja ya tatu ni kuhusu assumptions za mtoa hoja kwamba, huenda Abdul alimdanganya mkubwa wa CHADEMA kwamba anampelekea hela za matibabu.

Kwa jinsi ambavyo Tundu Lissu ameelezea kwamba kuna watu wema ndani ya Chadema walimpeleka Abdul nyumbani kwake, basi Chadema kuna watu wajinga na hizi ndio aina ya akili za baadhi yao.

Yaani fedha za malipo ya matibabu ya Lissu zipekekwe kwa Lissu sebuleni zikiwa kwenye bahasha; tena Kiongozi wa juu ndani ya chadema asijue kwamba, malipo ya fedha za serikali yanafanyika kwa mujibu wa Sheria na sio mkononi.

Lakini pia, kama sio akili za kijinga, unawezaje kufikiria jambo kama hili hata usijiulize kwamba, kama kweli yale yalikuwa malipo ya matibabu ya Lissu;

1. Kwa nini yapelekwe kwa Lissu yakiwa kwenye bahasha?
2. Kwa yapelekwe kwa Lissu na Mtoto wa Mama asiye na cheo chochote Serikalini? Huyu kiongozi wa juu wa Chadema alikuwa Bogus kiasi gani mpaka aamini zile ni fedha za malipo ya aliyekuwa Mbunge? Hata sio Waziri, Kiongozi wa Bunge, Mkuu wa Wilaya wala hata (Abdul) sio Mfagizi wala Shamba Boy kwenye Ofisi yoyote ya Serikali.

Punguzeni ujinga huu wa rejareja mkisaidie Chama chenu kinaelekea kufa.
Ujinga unao wewe na huyo Abdul dalali wa mamayenu mnayempigia mapambio kila siku Kwa sababu ya ujinga wenu huku bandari na ngorongoro zikiuzwa bila nyie wajinga kuelewa wakati huohuo mamayenu hauzi kwao Zanzibar na wewe jinga kama viongoz wenu wanaonuka rushwa unaleta story za kipumbavu kama mlivyo wengi wenu huko ccm.

NB: Jielimisheni muondoe ujinga na upumbavu uliowajaa huko kichwani tofauti na hapo mtabaki kukoment mitandaoni huku teuzi wakipewa wenye akili wanaotoka chadema jinga wewe kama mwenyekiti wenu huko ccm muuza bandari za Tanganyika.
 
Kuna watu tumekuwa tukikipambania Chama hiki kwa kuweka rehani roho zetu kwa sababu tuliamini kina nia njema na sahihi ya kuiondoa CCM madarakani kumbe ni Biashara za watu kupiga fedha.

Mkuu! Ukiwa Kiongozi Mstaafu wa Chama hiki kwenye level fulani, hata ukistaafu, unapaswa ku-support chama kwa kila hali na mali ikiwemo michango ya hapa na pale ili kujenga chama.
Sa

Just Imagine, huku chini watu tunajikamua na kutumia muda mwingi kuhakikisha chama kinaonekana ili hali huko juu ni full maushenzi.

Yaani ni watu kadhaa pekee wanaonekane kuwa strong na kusimama katika kweli.
Tatizo la CHADEMA ni Mbowe full stop

Niliandikaga Uzi Hapa siku moja watu wote wa JF wakanisimamga Retired Tindo na wengine wanaofuatilia Tanzania na uozo wake na wanataka mabadiliko ya kweli walinikaanga sana bila kugundua na muda huu washagundua kitambo

Uzi ulikuwa hivi (niliambiwa na mtu mzito kwamba kamati kuu inakaa tu CHADEMA hawana ubavu wa kuwafukuza COVID 19 Bungeni mpango ni toka 2020 na Mbowe anajua Dana Dana zoote ni hadi 2025 na hakuna atakaye watoa) na trend inekuwa ileile

Niliandika makusudi na kimkakati na nyuzi zilikuwa mfululizo kutokana na aina ya navyopataga Habari,

Kuna mtu Mzito tu ndani ya Chama cha Mapinduzi Ana ukaribu mno na mzito mmoja ndani ya Taasisi ya CHADEMA

Alinipa mchongo Mzima ambavyo MWENYEKITI ameshirikiana na Idara za juu kabisa za Uongozi wa nchi kutoa Baraka za Wabunge 19 wa CHADEMA kuwa Bungeni, walikuwa na Baraka za mwenyekiti, nikaandika Uzi kwamba


Watu wakaupuuza huu Uzi

Nikaleta uzi Mwingine kwamba
BUFA * Halima mdee kwa code Hiyo kulingana na sauti yake ,
UJIRA MWIHA * Rushwa

Soma uzi humu



Kwakweli matukio ya kufifisha harakati za Tanzania ni makubwa sana na wanaofifisha ni tunaowaamini,

Lakin ili Tanzania ipate ukombozi na upinzani wa kweli ni kwanza vyama vyote Vife hivi sijui CHADEMA , ACT au TLP na CCM yenyewe ndo tutaweza Kwenda Sawa!

Yaan miaka 20 ijayo kila upande utaheshimu mwingine yaan anayetawala na anayetawaliwa watakuwa wanaheshimiana sana

Siasa za Tanzania zimejaa uhuni mwingi
When it comes kwa ishu ya Lowassa 2015, wanachadema wajinga wengi na wapuuzi hawakujua kwamba pale wamepigwa changa la macho

Mtu ambaye ndo kijiji kizima kina uthibitisho wa kuua watoto na kuwala nyama alafu wakaja wasamaria wanauliza mnahisi ni Nani anaweza kuwa na uwezo wa kupewa kijiti cha kuwalinda watoto wachanga hawa mnampendekeza huyo huyo ambaye mmembrand hivo siku zote !

Na Hilo lilitufunza mengi kwamba wanasiasa wote zile ni ajira tu! Ukitia mzigo wa kutosha mezan unapindua maamuzi ya wengi! Ndo maana hata Slaa Mwanzoni nilimsifu kwa msimamo wake Ila akaja kuvuruga heshima yake kwa kurudi CCM ambako ndo wezi watupu! Angeachana n siasa akastaafu basi ingekuwa ni heshima kubwa !

CHADEMA imejikita katika kufanya biashara kwa ngazi za juu Ila hawa wachini wanakanyaga twende mbele people’s power bila kujua kuwa wanacho nia si wanacho nia viongozi wao 100%

Huyu alompeleka Dula kwa Lissu ni mtu wenu mzito Yule aliye Chana Chana barua ya Dr Slaa kujiuzulu na kuiweka mfukoni , Huku maelekezo yakipewa kutoka kwa mbowe na Lissu inabidi awe mkweli zaidi
Hata simu Zilipigwa toka kwa mbowe kushawishi upokeaji wa bahasha Hiyo !

Asubuhi tunahangaika kuwachangia wanachama wa CHADEMA na viongozi wanaopatwa na matatizo, wananchi wana imani sana na Chama hicho Ila msiporekebika mapema watavunjika moyo sana

Ila mna faida watanzania mi Mi ng’ombe inayosahau haraka

Wameshasahau suala la kutoka gerezan Kwenda kwenye maridhiano! Nilishajua hapo baaaasii

Nikaandika Uzi “mlete haraka atatusaidia mambo yetu kitaifa na kimataifa kuliko kumuacha gerezani atakuwa ameshapata somo hata wapinzani wenye nia ya kushindana wataogopa” ilikuwa ni kauli nzito sana

Namba mbili wamesahau uongo na hadaa za Lowassa kwamba ana Mawaziri 20 na viongozi 70 wazito wanahamia Cdm kumfuata! Na pia mpunga alitoa !!

Tatu wakasahau mambo ya hawa wabunge 19 Bungeni ambao wako kimakosa hakuna mbunge akomae mwenyewe mle na amkatalie mbowe ! Maana wale wanashirikiana na Mbowe na CCM kuonesha Taswira ya Tanzania iko vema kisiasa

Wajinga wenye techno za shangazi zao wa hapo Namanyere can not believe this!

TATIZO LA MABADILIKO YA WATANZANIA NI CHADEMA ambalo Tatizo ndani ya CHADEMA NI MBOWE

KWANINI TUNAISEMA CHADEMA TUNATAKA MADUDU WAYAMALIZE ILI UKOMBOZI WA KWELI UJE SIYO KUKOMALIA CCM, Mi ni CCM ambaye mwaka 2020 Nilimpigia Lissu Kura!
Mwaka 1995 Nilimpigia Mrema kura
Kuhusu wabunge siangaliagi CHAMA maana wabunge Wengine wa CCM vilaza!

Kwanini siwataji ACT WAZALENDO HAPA? Hao ni chama cha kwenye flash hakifiki hata 2035 hicho

Ukimuondoa Zitto tu wote waliobaki ni Kelele Kama darasa la tano mwalimu wa hesabu asipokuwa darasani !


Britanicca
 
Wewe mleta mada ni pumba.vu kweli. Thread ulete mwenyewe bado uendelee kuchangia mwenyewe?! Ulileta ya nini sasa?
Siku hizi umeacha kumalizia na ile kibwagizo lako la kuwa graduate wa Masters ya Public administration baada ya kuona haikusaidii kukupatia uteuzi?!
 
Siku hizi naona huweki namba ya simu mwisho wa mabandiko yako.
 
Back
Top Bottom