Mahojiano ya Lissu: Hoja tatu kuhusu Abdul kumtembelea nyumbani kwake

Mahojiano ya Lissu: Hoja tatu kuhusu Abdul kumtembelea nyumbani kwake

Kwamaba Mbowe baada ya ule uchafuzi wa Magufuli alikaa meza moja na magufuli kuunda covid 19??

Hapa Britanica umetupiga on broad Daylight
Anadanganya mchana kweupe
Mbowe anamapungufu yake ila chadema wanamuhitaji mbowe kuliko mbowe anavyowahitaji

Mtu mwingine kuvaa viatu vya mbowe atachukua masaa 72 ccm watakua wameshamnunua sababu ccm nchi hii wapo juu ya sheria
 
Interview ya Lissu imeacha maswali mengi kuliko majibu.

Yaani Abdul awe na list ya kuwanunua watu, halafu atokee mtu amlete Abduli kwako "kukusaidia" kisha huyo mtu eti umuite mwema?- Hapa Lissu kapuyanga!. Au anajaribu kujikosha kwa kuwasafisha mafisadi walio katika Chama chake ila jumba bovu anamuangushia Abduli kwa sababu kwake ni easy target a.k.a bangusilo la kisiasa kujiongezea ujiko!
 
Interview ya Lissu imeacha maswali mengi kuliko majibu.

Yaani Abdul awe na list ya kuwanunua watu, halafu atokee mtu amlete Abduli kwako "kukusaidia" kisha huyo mtu eti umuite mwema?- Hapa Lissu kapuyanga!. Au anajaribu kujikosha kwa kuwasafisha mafisadi walio katika Chama chake ila jumba bovu anamuangushia Abduli kwa sababu kwake ni easy target a.k.a bangusilo la kisiasa kujiongezea ujiko!
Mbona poplepole alikua anunua madiwani na wabunge wa chadema kipindi cha utawala wa magufuli ajabu ni nini
 
Back
Top Bottom