Hongera sana baba tee mondi the baddest nimekuelewa sana leo roho yako tofauti sana na wanaopenda kushindana kujikweza na kujiona wao ndo mashababi wa muziki kwa ukubwa wa muziki wako na jina lako ulivo lifanya brand worldwide Mungu akusimamie mimi kama Mtanzania najivunia wewe mondi endelea kutusua akili yako ni ya kutazama mbali na ufike mbali inshaallah!