The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Wasiwasi wangu nikwamba zisije zikaletwa evidence zakupikwa kama zile tuzoambiwa mapapai yana Corona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais anaingilia kesi iliyoko mahakamani. Kwa kauli yake hiyo aliyotoa tayari keshamuweka hakimu katika wakati mgumu
Very logical kiasi ya kusababisha Wananchi kuanza kuangalia kwa kina faida na hasara za vyama vingi vya siasa.Samia kaongea vizuri sana
Leo kwenye interview kaupigwa mwingi sana..kikeke kalabiwa juu mpaka anakosa cha kuuliza. Kila swali anapata jibu sahihi mpaka na yeye anatungisha kichwa cha kukubali jibu murua...
Itabd waje na Agenda nyingineLeo kwenye interview kaupigwa mwingi sana..kikeke kalabiwa juu mpaka anakosa cha kuuliza. Kila swali anapata jibu sahihi mpaka na yeye anatungisha kichwa cha kukubali jibu murua...
Kile kinachodaiwa ni makosa ya awamu ya sita mnasema mama hashauriwi vizuri.lawama zinaelekezwa kwa washauri wake.kana kwamba yeye ni too immature.Kwenye hili la Mbowe mama kajiharibia sana ,sijui kama anashauriwa na wanao mpenda!
Salimu kikeke alijua wazi anaenda kuleta mjadala sio kuwapa watu majibu.Kama umemsikiliza akihojiwa na salim kikeke hajashindwa swali hata moja, kikete kaishia kutingisha tu kichwa cha kukubali kwa kila swali...
Hapa ni kwamba yale mafisi yatakosa pa kushikia, kama yalipanga angefeli basi imekula kwao...
Umeonaje mama yako asiye dhalimu?Yale yalikuwa ni majibu na sio majawabu. Imeisha hiyo.
Samia ataheshimika kwa sababu tu ni binadamu lakini siyo kwa matendo yake.Hongera Mh.Rais wetu, Mama yetu mpendwa
watu sasa kweli wanasema ya moyoni
Ukiwa mjinga, unaweza kuamini kuwa mtu akiropoka chochote baada ya kuulizwa, basi ameweza kujibu.Kama umemsikiliza akihojiwa na salim kikeke hajashindwa swali hata moja, kikete kaishia kutingisha tu kichwa cha kukubali kwa kila swali...
Hapa ni kwamba yale mafisi yatakosa pa kushikia, kama yalipanga angefeli basi imekula kwao...
Umeonaje mama yako asiye dhalimu?
Ukiwa mjinga, unaweza kuamini kuwa mtu akiropoka chochote baada ya kuulizwa, basi ameweza kujibu.
Siyo dhalimu kama lile dubwasha lako!Sio dhalimu kama lile dubwasha lako lililoko motoni, yeye anaiga tembo kunya, na uzuri mama wa kambo yuko mwenyewe humu humu jukwaani tunampa ukweli wake.
Salimu kikeke alijua wazi anaenda kuleta mjadala sio kuwapa watu majibu.
Ukweli natamani kuwa mshauri wa Rais. Rais wetu ni muungwana sana. Ana mtazamo chanya kuhusu taifa. Ila kupitia mahojiano ya leo watu wanaofikiri sana atakuwa kama washauri walitakiwa wabuni maswali na majibu yote baada ya mahojiano.
Kama mama anaongea kwa kumaanisha NI lazima ajue.
1. Tofauti ya chaguzi na tume zetu za uchaguzi ndio zinazopelekea minyukano ya kisiasa baada ya uchaguzi. Hatuwezi kujilinganisha na nchi za Magharibi kwani uchaguzi wetu uacha makovu makali na yasiyovumilika.
2. Hata Ulaya mabadiliko kufikia Demokrasia ya kweli yalipitia kwenye misuguano na mijadala mikali. Democrasia haikutua tu tokea mbinguni. Kuna French Revolution, Chartisim na Ludism Uingereza na zilikuwa mbaya sana. Kama wapinzani wakihisi hawatendewi haki lazma watashinikiza mabadiliko.
3. Mbowe hakukamatwa peke yake Mwanza, Je wenzake wote ni magaidi.
4. Kwanini mashtaka ya Ugaidi yatokee Mara baada ya ishu ya Katiba?
5. Pia onyo la chokochoko lilitolewa kabla na Rais na Kama alimaanisha wale wanaodai Katiba. Mbowe alipinga vikali Sana kupitia Twitter. hivyo tayari kulikuwa na mabishano juu ya suala la Katiba Kati ya Raisi na Mbowe juu ya Katiba na hili la Ugaidi likaja gafla.
6. Ulipuaji visima vya mafuta ungemsaidiaje Mbowe kisiasa?
7. Magaidi wengi huwa na uhusiano, mfano Alqaida, Alshababu, ISS na Boko Haramu na mengine karibu yote hushirikiana na kusaidia kwa namna moja. Je Mbowe Yuko na uhusiano na kundi lipi la Ugaidi?
8. Kundi la kigaidi linaloongozwa na Mbowe ni lipi? Au ndio CHADEMA.
9. Ni Silaha zipi na mafunzo yapi ya kigaidi CHADEMA humiliki?
10. Viongozi wapi Mbowe aliwalenga kuwaua na kwa namna gani na silaha zipi.
Hayo ndio majibu ambayo dunia inategemea kujua. Na ndio maana dunia inaomba ushahidi.
Nje ya misukosuko na Polisi ukweli CHADEMA kimeepuka kwa 100 asilimia kuanzisha vurugu kwa namna yoyote ile, kuvamia , kupiga watu au kumiliki silaha ata mawe tu.
Nje ya CCM CHADEMA Sasa ndio taasisi iliyojijenga zaidi kila kona Tanzania.
Tujipe nafasi ili kilakitu kikiwa wazi mahakamani Tumjue vizuri gaidi Mbowe Kama ni Osama wa Tanzania. Ila Kama itakuwa kesi ya danadana itatuchafua Sana.
Lazma Raisi afikirie Mara mbili mbili na asimame na ukweli na atafute washauri wapya. Hili swala likiwa la kufungwa litamchafua Sana.
Kuna hatua mama alipiga Sana kwenye utawala Bora. asiruhusu mawazo na Iman za kinaz zikamrudisha nyuma.
Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea lile jitu liovu bila damu kumwagika. kwa sasa tuko na mama wa kambo, na inaeleweka mama wa kambo si mama.Siyo dhalimu kama lile dubwasha lako!
Na anaupiga mwingi! Magaidi ndani! Alafu kumbe yalijificha Nairobi!
Mi 10 kwa mama
Ila mnamaneno!Rais leo ameutoa nje.
Kabisa lile jitu lenu ovu mungu wenu aliliondoa bila damu kumwagika.Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea lile jitu liovu bila damu kumwagika. kwa sasa tuko na mama wa kambo, na inaeleweka mama wa kambo si mama.