Mahojiano ya Rais Samia na BBC yataongeza maswali na sio majibu

Umehara tena. Katafute flagil
 
Noma sana ,mambo yaliyopo mahakamani anayuzungumza live kwenye chombo kikubwa kabisa bila wasiwasi.

"Teeth" wapo kimaslahi tu yao ya kupiga fedha na wanapiga "kweri kweri".
Wamemtisha mama kuwa asipowasikiliza 2025 arudi kwao......mama amekuwa msikilizaji ngomainachezwa eagle wings
 
Hayo amekuachia wewe nanda bbc kayaeleze kwa kina
 
"Nadhani, Sidhani, Sina Hakika, Sijajua" 🤡

To make it short, that's a LIE!😂
 
Interview ya Salim Kikeke na Samia jana imefanya mambo manne yafuatayo:

1.Imemfunua Samia ni nani,anataka nini na ana mpango wa kuifanyia nini Tanzania.Imemfunua kuwa ni dikteta muoga na asiejiamini.

2.Imemshusha Salim Kikeke kupindukia.

3.Imeumiza image ya BBC.

4.Imedhalilisha waandishi wa habari.
 
Huyu wazungu wameshamuona bogus, sio muda mrefu watampandikizia Cardiac Disease through technology na 2025 atakuwa unfit to run for office if she will still be alive.

She is wrongly trying to give the impression that the mission to liquidate her predecessor was done in vain something that would catapult to her. Time will perfect what I'm saying.
 
Wanaouliza kwa nini Mbowe amekamatwa sasa na si vinginevyo wanasahau kuwa Mbowe, Lema, Meya wa zamani Ubungo Boniface walikamatwa mara baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa na kabla Rais hajaapishwa kwa kuchochea maandamano yasiyo na kikomo kupinga matokeo. Mambosasa alihojiwa na vituo vya ITV na TBC na kutoa madai hayo hayo ya ugaidi.
 
Salim kikeke ni cyprian musiba anaefanya kazi BBC na kuishi london,akili zao ziko sawa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…