"Kweli hajahindwa kujibu swali. Ila hapa" hatujadili tuu amejibu swali au hakujibu. Tunachambua (critical analysis).
Hayo hapo juu ni maneno yako, huo uharo unakuonyesha iwapo Mbowe kakamatwa kisiasa ni kwa sababu anafanya jambo hatarishi kwa utawala wa ccm.
NIKUKUMBUSHE TU KUWA UNA MDOMO MCHAFU.
Ishapenya, pambana na hali.Umehara tena. Katafute flagil
Halafu tunalalamika kuwa hatuna UHURU WA KUONGEA!Nimeamini samia ni mwehu mwongo na mzandiki anachokitafuta ataKivuna
Wamemtisha mama kuwa asipowasikiliza 2025 arudi kwao......mama amekuwa msikilizaji ngomainachezwa eagle wingsNoma sana ,mambo yaliyopo mahakamani anayuzungumza live kwenye chombo kikubwa kabisa bila wasiwasi.
"Teeth" wapo kimaslahi tu yao ya kupiga fedha na wanapiga "kweri kweri".
Hayo amekuachia wewe nanda bbc kayaeleze kwa kinaMimi nimepata majibu japo hatuombei iwe hivyo Mbowe hatorejea hivi karibuni uraiani, Chadema wajiandae kisaikolojia maana dialogue za kichama ni mpaka karibu n uchaguzi ndio zimeruhusiwa 2025.
Katibu kiongozi anapaswa kuongeza kasi ya utawala wa wasaidizi wafanye kazi yao ipasavyo kwani Mama anakuja na taarifa hafifu kama takwimu za ukuaji wa uchumi, vipengele vya sheria mama angefunika interview kwa kusema labda sheria yetu ya uchaguzi caps fulani inasema hakuna mikutano wala mijumuiko ya wananchama wa chama fulani na jezi zao.
Mama anagetumia pia platform ile kuelezea maendeleo ya miradi mikubwa ya mkakati, hali ya demokrasia, mipango ya muda mrefu ya afya kwa wananchi ikiwemo na uviko kwani mfano kupima uviko ni bei juu huku chanjo bure na mara akastuka akasema wasiwasi wake chanjo itakuwa haitoshi, chanjo serikali inagharamia mpaka lini na kama inakopa itakopa chanjo mpaka lini. Ajira zinapatiakanaje ilihali tozo zinazidi kuongezeka.
CCM inaongozwa kutokea China na urusi.Wamemtisha mama kuwa asipowasikiliza 2025 arudi kwao......mama amekuwa msikilizaji ngomainachezwa eagle wings
NI vigumu Sana kwa watu wa Magufuli kumkubali Samia ata awafanyie niniWamemtisha mama kuwa asipowasikiliza 2025 arudi kwao......mama amekuwa msikilizaji ngomainachezwa eagle wings
Akifanya mzaha atakuwa mpemba wa mwisho kizazi hiki kuongpza muungano.....very low IQ acha ambwele tuNI vigumu Sana kwa watu wa Magufuli kumkubali Samia ata awafanyie nini
Salimu kikeke alijua wazi anaenda kuleta mjadala sio kuwapa watu majibu.
Salim kikeke ni cyprian musiba anaefanya kazi BBC na kuishi london,akili zao ziko sawa kabisaInterview ya Salim Kikeke na Samia jana imefanya mambo manne yafuatayo:
1.Imemfunua Samia ni nani,anataka nini na ana mpango wa kuifanyia nini Tanzania.Imemfunua kuwa ni dikteta muoga na asiejiamini.
2.Imemshusha Salim Kikeke kupindukia.
3.Imeumiza image ya BBC.
4.Imedhalilisha waandishi wa habari.
🤣🤣🤣Salim kikeke ni cyprian musiba anaefanya kazi BBC na kuishi london,akili zao ziko sawa kabisa