bushland JF-Expert Member Joined Mar 6, 2015 Posts 7,015 Reaction score 4,985 Jun 8, 2016 #41 Wasalimie wote huko
data JF-Expert Member Joined Apr 9, 2011 Posts 26,858 Reaction score 23,768 Jun 8, 2016 #42 Sijui nani kavuruga uzi huu...!??
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 57,761 Reaction score 216,011 Jun 8, 2016 #43 data said: Sijui nani kavuruga uzi huu...!?? Click to expand... Ni mimi hapa mwalimu.
Shin Lim JF-Expert Member Joined Mar 27, 2012 Posts 7,837 Reaction score 14,198 Jun 8, 2016 #44 MKWEPA KODI said: Alienda uingereza?, mweeee sijui mimi nitakwenda lini ulaya, yaani natamani kupanda ndege, hata ya kwenda mbeya tu Click to expand... wewe ni sawa na mm, sijawahi kupanda ndege. Kuna siku niliota nimepanda ndege na ikawa kama live hivi, yaani siyo ndoto. Aisee nilifurahi sana kwa kujua nimeshaacha pengo kwa washamba, nilivyoshituka nilisijitika sana.
MKWEPA KODI said: Alienda uingereza?, mweeee sijui mimi nitakwenda lini ulaya, yaani natamani kupanda ndege, hata ya kwenda mbeya tu Click to expand... wewe ni sawa na mm, sijawahi kupanda ndege. Kuna siku niliota nimepanda ndege na ikawa kama live hivi, yaani siyo ndoto. Aisee nilifurahi sana kwa kujua nimeshaacha pengo kwa washamba, nilivyoshituka nilisijitika sana.
sister JF-Expert Member Joined Nov 23, 2011 Posts 9,014 Reaction score 6,847 Jun 8, 2016 #45 MKWEPA KODI said: Alienda uingereza?, mweeee sijui mimi nitakwenda lini ulaya, yaani natamani kupanda ndege, hata ya kwenda mbeya tu Click to expand... Hahahaaaa.....dah nimecheka sana ...anyway usijali cha muhimu ni afya na uzima utakuja kuzipanda ndege mpaka uzichoke.
MKWEPA KODI said: Alienda uingereza?, mweeee sijui mimi nitakwenda lini ulaya, yaani natamani kupanda ndege, hata ya kwenda mbeya tu Click to expand... Hahahaaaa.....dah nimecheka sana ...anyway usijali cha muhimu ni afya na uzima utakuja kuzipanda ndege mpaka uzichoke.