Mahondaw mpenzi wangu, kitandani usishuke zima taa kabisa

Mahondaw mpenzi wangu, kitandani usishuke zima taa kabisa

Status
Not open for further replies.
Wewe unaichukuliaje??

Jf inahitaji umakini sana coz kuna watu wa kila aina uijuayo wewe ipo humu anyway binafsi niseme tu
I just thank God for bringing this kijana Smart911 into my life sijutii na namjivunia sana
I Lavyuuuuu Smart911 super Dear
Kama umesoma shule ya boarding utakumbuka jinsi wanafunzi walivyokua wakiishi.

Kulikua na couples mbali mbali, wambea, wachonganishi na wenye wivu, wataka sifa, watafuta Kiki, nk.

Basi sasa hivi ndivyo ninavyoiona jf, mwanzo mimi nilijua humu kila mtu anafanya yake, alafu unakula kona kumbe Kuna watu wanapata wapenzi wa kweli humu humu, Kuna wanafiki humu humu na watafuta kiki pia.

Duuuuu ebwana hatariii
 
JF Kuna challenge nyingi sana... Nimepata tabu sana kumuweka mahondaw kwenye mstari...

Humu ndani bhana watu akili zao wanazijua wenyewe.. Wengine wavurugaji tu makusudi.. Ukiwa na roho nyepesi mnagombana kila siku...

Mimi am always calm and cool...
Ndiyo maana mtu akiamua kumtongoza mahondaw hata kama anajua yupo na Smart911... Mimi i deal with mahondaw kwa njia amani...


Cc: mahondaw
Kwa hiyo akitongozwa lazima akuambie kiongozi?
 
Kama umesoma shule ya boarding utakumbuka jinsi wanafunzi walivyokua wakiishi.

Kulikua na couples mbali mbali, wambea, wachonganishi na wenye wivu, wataka sifa, watafuta Kiki, nk.

Basi sasa hivi ndivyo ninavyoiona jf, mwanzo mimi nilijua humu kila mtu anafanya yake, alafu unakula kona kumbe Kuna watu wanapata wapenzi wa kweli humu humu, Kuna wanafiki humu humu na watafuta kiki pia.

Duuuuu ebwana hatariii
Daaaaahhh Ndugu Umezungumzia Mambo Ya Shule za Bodi Umenikumbusha mbali sana
 
Sitoruhusu mabaya yatutokee kati yangu na mahondaw... Unajua kwa nini... Ni mwanamke anayejitambua na kujielewa... Ungemfahamu kabla yangu ungeelewa namanisha nini...

Cc: mahondaw
Mahondwa umesikia mmeo anavyojinasibu hapa sasa ole wako ulete habari nyeusi atasogeza manowari zake kwenye rasi ya Miss Natafuta.
 
Oops Smart911 my king seriously I never had a man here in JF never . It's only the wonderful one and only Smart911 unanitosha
Don't worry love.. Before going to bed we should dance.. Unajua how love... Hehehe... Me behind your full moon ass (butts)... We dance kama hakuna kulala vile...
 
Aisee ngoja kipindi hiki niwe active kwenye jukwaa la MMU kuliko kule kwenye siasa.. Naweza kuokota dodo kwenye muarobain

hongeren sana wapendanao
 
God Forbid!

Raphael wa Ureno try to think something positive instead!
Why always negativity?!? Anyway what I can say is thank God for this Wonderful lucky man Smart911! I love this kijana mpaka sijielewi
Ooh, Safi sana nashukuru wote mmetambuana na kupeana majukumu mazito huwenda ambayo wengine wasingeyaweza mikononi mwao

Kwaniaba wa moyo Wangu nawaombea kila jema liwe nanyi hadi pale Mungu atakapowatenganisha, napenda kuona mapenzi yenye samadi kama yenu popote yatamea na kustawi bila kikwazo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom