Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Then why that??The world is yours buddy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Then why that??The world is yours buddy
Mzima mamy...hapa naangalia mahaba mubashara[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaaa!
Mzima weye?
Asa nawe unataka kuwa kama magu bwana,challenges za hapa na pale ni muhimu,thats why nkasema no offence,it wad all in good spiritThen why that??
Hahahaaa! Wanapeana maneno mazuri hatari.Mzima mamy...hapa naangalia mahaba mubashara[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaa! Wanapeana maneno mazuri hatari.
Nawaombea kwa mungu awasimamie mana bado wana safari ndefu.
Asa nawe unataka kuwa kama magu bwana,challenges za hapa na pale ni muhimu,thats why nkasema no offence,it wad all in good spirit
Bora wafike tu[emoji4][emoji4]Hahahaaa! Wanapeana maneno mazuri hatari.
Nawaombea kwa mungu awasimamie mana bado wana safari ndefu.
kweli Mungu aepushe hilo baya!Mungu aepushie mbali hilo baya katika hio sentensi yako
Na amina amina amina katika maombi yako
Asante mkuu
Toka lin kaka akamuandikia dada ake mambo ya kitandan sio taratibu zetu sie mie haya maneno ntamwandikia Heaven Sent tu peke ake
Haha ha ha wanafki utawajua tu hata sipelek salamuAlaa kumbe!!!
Nilikua sijui aisee Msalimie sana Heaven Sent
Aisee ngoja kipindi hiki niwe active kwenye jukwaa la MMU kuliko kule kwenye siasa.. Naweza kuokota dodo kwenye muarobain
hongeren sana wapendanao
Haha ha ha wanafki utawajua tu hata sipelek salamu
Ha ha ha ha kumbe muoga enhee??Heeeeeeeeeh makubwa haya unafiki teina!! Mmh
Nimefuta kauli yaishe
Umeonaee! Na ndio cha muhimuBora wafike tu[emoji4][emoji4]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ningeshangaa Kama usingemtaja Kasie[emoji23][emoji23][emoji23]