Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Inabidi ubadilike ili mambo yakae sawaInawezekana ikawa kweli😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi ubadilike ili mambo yakae sawaInawezekana ikawa kweli😂
Leta mkuuSisi tuliosoma VETA tunaruhusiwa kuleta ushuhuda au tukae kimya?
Na uzee huu mabadiliko ya Nini tena..Inabidi ubadilike ili mambo yakae sawa
Wa kwangu nilianza nae primary...sekondar..chuo kikuu...na sasa tuna WATOTO wawili. Kama napenz ya Ukweli... InawezekanaUtakuta wanachuo wanatembea kwa kufuatana kama kumbi kumbi; mwanaume hataki kumuacha mwanamke, na mwanamke naye hataki kumuacha mwanaume.
Mmoja akienda maktaba, mwenzake anamfuata, hivyo hivyo hata kwenye magrupu ya 'discussion'. Ulikuwa ukiingia kwenye vyumba vyao, utakuta matunda, juisi, wine n.k zimejaa kwenye friji; sisi wengine tuliishia kutamani tu.
Kulikuwepo na dada mmoja alikuwa na chura hatari sana, ilikuwa kila ukikutana naye lazima uishiwe pumzi; ingawa baadhi ya watu waliowahi kumuona huko nyuma, walikuwa wanasema hiyo chura ameitengeneza. Halafu miaka hiyo, ndio vipedo vimeingia, alikuwa akivipiga vinamtoa hatari. Kwa upande wangu niliishia kutamani tu, kwa sababu sikuwa na meno.
Nilikuwa kila binti nikimtongoza hapo chuoni, wananipiga kalenda, na mwisho wa siku nikawa najiongeza, kuwa hapa nimekataliwa. Baadaye nilikuja kugundua, kwa sababu nilikuwa navaa rafu sana, nilikuwa navaa mashati makubwa huku nyuma yanaachia mkia kama wa mjusi ,halafu sichomekei, pia nywele nilikwa naziacha ziwe ndefu.
Baada ya kuona chuoni sipati, nikaanza harakati za kutafuta wapenzi kwenye vyuo vingine pamoja na wafanyakazi. Ikawa kila wikiendi inabidi nisafiri nikakutane na mwenzangu.
Changamoto zilianza baada ya kuhitimu chuo, hakuna kazi hakuna hela, maisha yamesimama, wote niliokuwa nao tukapotezana kwenye mawasiliano, akabaki mmoja tu alisoma 'pspa' akawa amepata kazi sehemu ya kujishikiza; tukawa tunaendelea naye mpaka kuja kubeba ujauzito.
Kutokana na harakati za maisha, ikanilazimu tuwe mbali mpaka mtoto alipozaliwa; nimekuja kuonana naye amekuwa mama mtu mzima kwa sababu alikuwa amenizidi miaka kama 3 pia ana ule mwili mkubwa; ukichangia na ukuaji wa mwili baada ya kujifungua, akawa anaonekana kama mama kwangu. Kwa hiyo hatukuweza tena kuendelea, ila alikuja kuolewa na mtu mwingine.
Je, katika harakati zako za masomo, zilikupatia mahusiano ya kudumu?
Bado uko vizuri, ondoa hofuNa uzee huu mabadiliko ya Nini tena..
Una bahati ya kipekee sanaWa kwangu nilianza nae primary...sekondar..chuo kikuu...na sasa tuna WATOTO wawili. Kama napenz ya Ukweli... Inawezekana
😂😃😀Sisi tuliosoma VETA tunaruhusiwa kuleta ushuhuda au tukae kimya?
NakaziaPoleni sana...
Wakikujibu nishtue mkuu tutoe ushuhudaSisi tuliosoma VETA tunaruhusiwa kuleta ushuhuda au tukae kimya?
Humu humu babuna sisi tuliosoma Chuo cha Cherehani tunacoment wapi?
umeona uje kutusema huku😀😀😀Kuna couple moja chuo ilikuwa ya mfano kuanzia walimu mpaka wanafunzi wote walikuwa wanaijua tukajua watakuja kuoana aisee walipomaliza chuo yule demu alipata ujauzito wa mwanaume mwingine huku yule jamaa yake alikuwa mkoa mwingine kikazi ndo nikajua kweli mademu wanajua kuigizau
Mkuu vp na ww upo kwenye msafarau
umeona uje kutusema huku[emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu chuo chenu kilikuwa na watu wangapi, hadi kuweza kujua couple zote?Sijawahi kuwa na mahusiano chuoni na wote waliokuwa na mahusiano waliishia kuachana tu
The ishu ni mapenziUna bahati ya kipekee sana