Mahusiano chuoni huwa kama 'drama'

Wa kwangu nilianza nae primary...sekondar..chuo kikuu...na sasa tuna WATOTO wawili. Kama napenz ya Ukweli... Inawezekana
 
Sijawahi tongoza chuo ila niliwahi kupendwa na madem wawili nyakati tofauti,mmoja ni mke wa kigogo flani saizi na alikua anakuja hadi geto nikawa namuona mbovu nikampotezea hadi akakata tamaa. Saizi ni bonge la kisu yan (Sityupidi mi)
 
u
umeona uje kutusema huku😀😀😀
 
Nikiwa chuo, nilipata mpenzi mwaka wa kwanza semester ya pili! Ilikua kazi sana kunfanya atulie, nilifanya kazi kubwa ya kumjenga. Alikua anapenda kuwa karibu sana na wavulana ma bishoo!

I was so cool, life gheto ilikua chini sana. Tulikua tunaishi watatu, na tumelalia godoro bila kitanda kwa miaka miwili ingawa tulikua na mikopo wote 100%.

Sometimes manzi akawa ananishawishi nihame, nikapange naye. Nikawaambia rafiki zangu, wakasema usipange, utapoteza malengo yako. Nikamkazia.

Nilimjenga sana, tulipita nae katika mambo mengi, ila mpaka leo, nipo nae nimeoa (si kwa harusi) tunalea mtoto mmoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…