Mahusiano Kati ya Kijana, Mama wa Kijana, dada wa Kijana na mke wa Kijana

Kuna jamaa yangu mmoja alivyoona figisu zimezidi akamwambia mama yake tafadhali maana naomba uniache na Mimi nifurahie maisha ya ndoa Kama wewe ulivyofaidi na baba yangu..

Hapo si ndio kuanzisha vita kabisa? Mke atachukiwa wazi wazi
 
Kweli kabisa mkuu, unakuga maza yupo zake Mbeya, sister kaolewa Mtwara, we na familia mnaishi Arusha, hapo huwezi ona figisi hata siku moja.
YOU NAILED IT.[emoji625][emoji625]
 
SAsa hivi ndo naiona comment yako..loh!kwanini sasa na wewe..totoz zote hizo mtaani..hebu acha mambo ya ajabu basi

Bado nipo nipo kwanza, totoz kibao lakin wife material ndio changamoto nikipata kama wale ambao @Jokajeusi anaotuasa ndio naoa. 25+ afu awe virgin nasukuma ndani.
 
Doh!. Pole sana, pia hongera zaidi kua na maamuzi ya kweli.
Mungu akubariki.

Sent from my Redmi 5 using JamiiForums mobile app
 
Hee wewe yako mazito.Mungu akufungulie njia utatue hilo najua linakuumiza sana.
 
hii hotokea sana hasa kama wenyewe hamjaamua kufanya lile agano la asili
 
Ili huwepukane na hizi songombingo kama kijana unapotaka kuoa unashauriwa kukaa mbali na wazazi au ndugu.UNDUGU LAWAMA.
 
Mkuu wanawake hawapendani na hawana urafiki wa kudumu mara zote wanaishi kinafikinafiki hawawezi kuishi mwezi pamoja bila kununiana, kusengenyana au kugombana.
Pia hawa viumbe hawawezi kutunziana siri ndio mana hawaishi kusutana.

Epuka ile kujuana sana kama mwanaume yakupasa kujitahidi wewe pamoja na mke wako kutunza mambo yenu ya ndani na madhaifu yenu ya ndoa kwa ndugu na jamaa zenu.
Pia kuishi mbali na familia yako kwa wilaya au mkoa tofauti itapendeza zaidi na hata ukienda kusalimia msikae zaidi ya mwezi mmoja.
Na usisahau kujitahidi kutoa misaada ya hali na mali kwa wazazi na ndugu zako pale inapohitajika.
 
Duuuuu pole sana kwa changamoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…