muafi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 2,557
- 6,128
Dogo ni mwalimu idara ya msingi,
Majina yake ya vyeti vyote ni MARIAM ELIAS (mfano)
Majina ya Nida ni MARIAM ELIAS MMASA.
Wakati wa kuomba ajira Tamisemi details zilikubali vizuri kabisa na mimi ndiye nilimuombea.
Selection zimetoka kachaguliwa lakini halmashauri wanamiweka kwenye mfumo eti nida inagoma!
Tunashangaa hata sisi, sababu inaweza kuwa ipi, wazoefu tatizo linaeza kuwa nn details zimepishana wapi
Majina yake ya vyeti vyote ni MARIAM ELIAS (mfano)
Majina ya Nida ni MARIAM ELIAS MMASA.
Wakati wa kuomba ajira Tamisemi details zilikubali vizuri kabisa na mimi ndiye nilimuombea.
Selection zimetoka kachaguliwa lakini halmashauri wanamiweka kwenye mfumo eti nida inagoma!
Tunashangaa hata sisi, sababu inaweza kuwa ipi, wazoefu tatizo linaeza kuwa nn details zimepishana wapi