Mahusiano kwa sasa yamekuwa kama ajira ya kudumu kwa wanawake wa kizazi hiki

Mahusiano kwa sasa yamekuwa kama ajira ya kudumu kwa wanawake wa kizazi hiki

Mahusiano kwa sasa yamekuwa kama ajira ya kudumu kwa wanawake wa kizazi hiki cha sasa ,kama mwanaume una jukumu binafsi la kulinda mali zako na uchumi wako binafsi .Dunia ya sasa imejaa wanawake ambao wanawatumia wanaume kama ngazi ya kutafuta mafanikio na kutoboa kimaisha .🥺🤔🙇🏿‍♂
Sio kila mwanamke yupo kwa mwanamme kwasababu hana kwa kwenda!
 
Sasa hivi kama ni mzazi uwe karibu na mtoto wako wa kiume.
Wanawake wamekuwa watu wa hila moyoni kutaka kuchuma mali.
Mtoto kwa mzazi hakui.
Wasaidieni watoto wa kiume wanafanyiwa mambo ya hila sana na wake zao na kwa bahati mbaya wanaume wengi hawasemi wanabeba mambo kifuani na baada ya muda ni kuugua kisukari na presha.
 
Wenye pesa zenu kuweni wajanja kama Hachimi au Elon Musk. Vinginevyo kataeni kutumika. Na mkiamua kutumika basi msilalamike. Au mnalazimishwa kuhudumia? Si na nyie mnapata mnachokitaka kutoka kwa hao mnaowahudumia ama? Hata sielewi kwa nini malalamiko yanazidi kila siku?

IMG-20241122-WA0020.jpg
 
Kuna muda mwanamke yupo na wewe kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa sababu ni masikini hana chaguo lingine la ziada.

Ukweli ni kwamba wanawake wengi tunaotembea nao na wale mliowaoa wanashikilia mahusiano ya mapenzi na wanaume zao kwa sababu wanataka msaada wa kiuchumi.

Ni masikini ,hawana kazi kwa sasa na wewe mwanaume ndio jibu la matatizo yao .Ila kuwa makini na vitu vichache ,wakishaanza kutengeneza pesa na kuipambania wenyewe utaona tu mabadiliko kwenye mahusiano yenu .

Wataanza kuuliza maswali wakiamini tayari wameanza kuwa juu yako.Utasikia wanakwambia wanataka waanze kujitafuta bila uwepo wako. Hayo ni mahesabu makali ambayo wanawake wanakuwa wamepiga kwa bahati mbaya wanaume wengi wanakuwa wahanga kwenye udhalimu wao.

Huo ndio ukweli wanawake wengi matajiri duniani hawajaanzia chini ,Wengi wao wamefaidika na utajiri huo kutoka kwenye talaka za ndoa ,au kupata baadhi ya hisa za makampuni kutoka kwa waume zao au wazazi wa😵prah ni mmoja wa wanawake wachache wanaoweza kusimama na kujitamba kuwa utajiri wake kaanza kuutafuta mwenyewe akiwa chini.

Uchunguzi uliofanywa na Forbes Billionaires unaonesha asilimia kubwa ya wanawake matajiri duniani wameupata kutokana na urithi na talaka.Majina kama Mackenzie Scott na Melinda French Gates hapo kichwani mwangu .Hawa ni baadhi ya wanawake mashuhuri ambao utajiri wao umetokana na mali walizopata baada ya kudai talaka kutoka kwa waume zao.

Angalia Marekani ,wanawake kwa asilimia 70% ndio waanzilishi wakubwa wa talaka. Wanawake wanasukumwa na kuvunja mahusiano ya mapenzi hili wapate nusu za mali kutoka kwa wanaume. Wanaume wanapokonywa mali zao walizozichuma kwa muda mrefu huku wake zao wakifaidika nazo bila hata kuzitolea jasho.

Mawazo ya wanawake wa sasa kwenye mchezo wa mapenzi yanatisha.Unaweza ukadhania yupo na wewe kihisia ,kumbe yupo kihisia za kiuchumi .Siku akipata nafasi nzuri ya kiuchumi lazima atatafuta mlango mwingine wa kutokea nje ya mahusiano aliyokuwa nayo sasa.

Mfumo umetengeneza hizi tabia ,Sheria za mahakama ya Talaka siyo rafiki kwa upande wa wanaume duniani .Kila kitu kinaenda kumfaidisha mwanamke kuanzia urithi wa baadhi ya mali,matunzo ya watoto na vitu vingine vingi .

Mahusiano kwa sasa yamekuwa kama ajira ya kudumu kwa wanawake wa kizazi hiki cha sasa ,kama mwanaume una jukumu binafsi la kulinda mali zako na uchumi wako binafsi .Dunia ya sasa imejaa wanawake ambao wanawatumia wanaume kama ngazi ya kutafuta mafanikio na kutoboa kimaisha .
Upo sawa kabisa Je, tufanyaje ili tuepuke huu mtego
 
Wenye pesa zenu kuweni wajanja kama Hachimi au Elon Musk. Vinginevyo kataeni kutumika. Na mkiamua kutumika basi msilalamike. Au mnalazimishwa kuhudumia? Si na nyie mnapata mnachokitaka kutoka kwa hao mnaowahudumia ama? Hata sielewi kwa nini malalamiko yanazidi kila siku?

View attachment 3158891
Nimemkubali huyu jamaa.
 
Kuna muda mwanamke yupo na wewe kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa sababu ni masikini hana chaguo lingine la ziada.

Ukweli ni kwamba wanawake wengi tunaotembea nao na wale mliowaoa wanashikilia mahusiano ya mapenzi na wanaume zao kwa sababu wanataka msaada wa kiuchumi.

Ni masikini ,hawana kazi kwa sasa na wewe mwanaume ndio jibu la matatizo yao .Ila kuwa makini na vitu vichache ,wakishaanza kutengeneza pesa na kuipambania wenyewe utaona tu mabadiliko kwenye mahusiano yenu .

Wataanza kuuliza maswali wakiamini tayari wameanza kuwa juu yako.Utasikia wanakwambia wanataka waanze kujitafuta bila uwepo wako. Hayo ni mahesabu makali ambayo wanawake wanakuwa wamepiga kwa bahati mbaya wanaume wengi wanakuwa wahanga kwenye udhalimu wao.

Huo ndio ukweli wanawake wengi matajiri duniani hawajaanzia chini ,Wengi wao wamefaidika na utajiri huo kutoka kwenye talaka za ndoa ,au kupata baadhi ya hisa za makampuni kutoka kwa waume zao au wazazi wa😵prah ni mmoja wa wanawake wachache wanaoweza kusimama na kujitamba kuwa utajiri wake kaanza kuutafuta mwenyewe akiwa chini.

Uchunguzi uliofanywa na Forbes Billionaires unaonesha asilimia kubwa ya wanawake matajiri duniani wameupata kutokana na urithi na talaka.Majina kama Mackenzie Scott na Melinda French Gates hapo kichwani mwangu .Hawa ni baadhi ya wanawake mashuhuri ambao utajiri wao umetokana na mali walizopata baada ya kudai talaka kutoka kwa waume zao.

Angalia Marekani ,wanawake kwa asilimia 70% ndio waanzilishi wakubwa wa talaka. Wanawake wanasukumwa na kuvunja mahusiano ya mapenzi hili wapate nusu za mali kutoka kwa wanaume. Wanaume wanapokonywa mali zao walizozichuma kwa muda mrefu huku wake zao wakifaidika nazo bila hata kuzitolea jasho.

Mawazo ya wanawake wa sasa kwenye mchezo wa mapenzi yanatisha.Unaweza ukadhania yupo na wewe kihisia ,kumbe yupo kihisia za kiuchumi .Siku akipata nafasi nzuri ya kiuchumi lazima atatafuta mlango mwingine wa kutokea nje ya mahusiano aliyokuwa nayo sasa.

Mfumo umetengeneza hizi tabia ,Sheria za mahakama ya Talaka siyo rafiki kwa upande wa wanaume duniani .Kila kitu kinaenda kumfaidisha mwanamke kuanzia urithi wa baadhi ya mali,matunzo ya watoto na vitu vingine vingi .

Mahusiano kwa sasa yamekuwa kama ajira ya kudumu kwa wanawake wa kizazi hiki cha sasa ,kama mwanaume una jukumu binafsi la kulinda mali zako na uchumi wako binafsi .Dunia ya sasa imejaa wanawake ambao wanawatumia wanaume kama ngazi ya kutafuta mafanikio na kutoboa kimaisha .
Dawa ni ndoa za kiislam tu,Kila kitu kipo wazi kabla na baada ya ndoa,.....uislam upo mbele ya muda, hakuna huu ukanjaja........umeshasikia tajiri WA Saudi Arabia amegawana Mali na mkewe kisa ndoa kuvunjika?
 
Back
Top Bottom