Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Hapana mkuu naongea ishu serious we jamaa una misimamo πππππ€£π€£π€£π€£π€£imecheka mkuu!
Umeanza...
Kwani bado hujaoa mkuu?Hapana mkuu naongea ishu serious we jamaa una misimamo ππππ
Na hivo ndo inavotakiwa aiseeee..
Toka mwanzo niliona tuu we jamaa ni ngumu kutoka kwenye misingi yako...
Really nitaiga misingi yako
πππππ
Inasikitisha sana, unaishi na nyoka ndani. Unawaza welfare ya familia yeye anawaza zitajaa lini ili aombe talaka mgawane 50-50.
Mkuu mi kuoa bado mkuu..Kwani bado hujaoa mkuu?
Sio kila mwanamke yupo kwa mwanamme kwasababu hana kwa kwenda!Mahusiano kwa sasa yamekuwa kama ajira ya kudumu kwa wanawake wa kizazi hiki cha sasa ,kama mwanaume una jukumu binafsi la kulinda mali zako na uchumi wako binafsi .Dunia ya sasa imejaa wanawake ambao wanawatumia wanaume kama ngazi ya kutafuta mafanikio na kutoboa kimaisha .π₯Ίπ€ππΏββ
Inaumiza sana mkuu, japo tulishaambiwa tutumie akili sana kuishi nao.Aombe talaka au aombe au kumroga mimΔ au amtie msongo wa mawazo augue Kisukari na presha ya kupanda apigwe strock a tangulie yeye arithi mali.
Weeee acha uwongoSio kila mwanamke yupo kwa mwanamme kwasababu hana kwa kwenda!
Utashangaa hapo mnaishi poa tu, siku ukiamua kuhalalisha migogoro inaanza.π€£π€£Mkuu mi kuoa bado mkuu..
Ila nimekaa na mwanamama zaidi ya miaka 3 naweza sema ni ndoa
mwanamke ukimtendea vema atakupenda daima na kukuheshimu siku zote....tatizo wanaume wengi hupenda kuwafanya wanawake kama watumwa wao..!Weeee acha uwongo
Upo sawa kabisa Je, tufanyaje ili tuepuke huu mtegoKuna muda mwanamke yupo na wewe kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa sababu ni masikini hana chaguo lingine la ziada.
Ukweli ni kwamba wanawake wengi tunaotembea nao na wale mliowaoa wanashikilia mahusiano ya mapenzi na wanaume zao kwa sababu wanataka msaada wa kiuchumi.
Ni masikini ,hawana kazi kwa sasa na wewe mwanaume ndio jibu la matatizo yao .Ila kuwa makini na vitu vichache ,wakishaanza kutengeneza pesa na kuipambania wenyewe utaona tu mabadiliko kwenye mahusiano yenu .
Wataanza kuuliza maswali wakiamini tayari wameanza kuwa juu yako.Utasikia wanakwambia wanataka waanze kujitafuta bila uwepo wako. Hayo ni mahesabu makali ambayo wanawake wanakuwa wamepiga kwa bahati mbaya wanaume wengi wanakuwa wahanga kwenye udhalimu wao.
Huo ndio ukweli wanawake wengi matajiri duniani hawajaanzia chini ,Wengi wao wamefaidika na utajiri huo kutoka kwenye talaka za ndoa ,au kupata baadhi ya hisa za makampuni kutoka kwa waume zao au wazazi waπ΅prah ni mmoja wa wanawake wachache wanaoweza kusimama na kujitamba kuwa utajiri wake kaanza kuutafuta mwenyewe akiwa chini.
Uchunguzi uliofanywa na Forbes Billionaires unaonesha asilimia kubwa ya wanawake matajiri duniani wameupata kutokana na urithi na talaka.Majina kama Mackenzie Scott na Melinda French Gates hapo kichwani mwangu .Hawa ni baadhi ya wanawake mashuhuri ambao utajiri wao umetokana na mali walizopata baada ya kudai talaka kutoka kwa waume zao.
Angalia Marekani ,wanawake kwa asilimia 70% ndio waanzilishi wakubwa wa talaka. Wanawake wanasukumwa na kuvunja mahusiano ya mapenzi hili wapate nusu za mali kutoka kwa wanaume. Wanaume wanapokonywa mali zao walizozichuma kwa muda mrefu huku wake zao wakifaidika nazo bila hata kuzitolea jasho.
Mawazo ya wanawake wa sasa kwenye mchezo wa mapenzi yanatisha.Unaweza ukadhania yupo na wewe kihisia ,kumbe yupo kihisia za kiuchumi .Siku akipata nafasi nzuri ya kiuchumi lazima atatafuta mlango mwingine wa kutokea nje ya mahusiano aliyokuwa nayo sasa.
Mfumo umetengeneza hizi tabia ,Sheria za mahakama ya Talaka siyo rafiki kwa upande wa wanaume duniani .Kila kitu kinaenda kumfaidisha mwanamke kuanzia urithi wa baadhi ya mali,matunzo ya watoto na vitu vingine vingi .
Mahusiano kwa sasa yamekuwa kama ajira ya kudumu kwa wanawake wa kizazi hiki cha sasa ,kama mwanaume una jukumu binafsi la kulinda mali zako na uchumi wako binafsi .Dunia ya sasa imejaa wanawake ambao wanawatumia wanaume kama ngazi ya kutafuta mafanikio na kutoboa kimaisha .
Nimemkubali huyu jamaa.Wenye pesa zenu kuweni wajanja kama Hachimi au Elon Musk. Vinginevyo kataeni kutumika. Na mkiamua kutumika basi msilalamike. Au mnalazimishwa kuhudumia? Si na nyie mnapata mnachokitaka kutoka kwa hao mnaowahudumia ama? Hata sielewi kwa nini malalamiko yanazidi kila siku?
View attachment 3158891
Yuko vizuri sana; na anajulikana kwa matumizi sahihi ya pesa zake. Maeksi zake wengi huwa wanamlalamikia sana. Sema jamaa naye huwa anatoka na pisi zenye pesa tu. Imagine Amber Heard aliweza kurudisha kila kitu alichowahi kupewa na mwamba - mamilioni ya dola πNimemkubali huyu jamaa.
Dawa ni ndoa za kiislam tu,Kila kitu kipo wazi kabla na baada ya ndoa,.....uislam upo mbele ya muda, hakuna huu ukanjaja........umeshasikia tajiri WA Saudi Arabia amegawana Mali na mkewe kisa ndoa kuvunjika?Kuna muda mwanamke yupo na wewe kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa sababu ni masikini hana chaguo lingine la ziada.
Ukweli ni kwamba wanawake wengi tunaotembea nao na wale mliowaoa wanashikilia mahusiano ya mapenzi na wanaume zao kwa sababu wanataka msaada wa kiuchumi.
Ni masikini ,hawana kazi kwa sasa na wewe mwanaume ndio jibu la matatizo yao .Ila kuwa makini na vitu vichache ,wakishaanza kutengeneza pesa na kuipambania wenyewe utaona tu mabadiliko kwenye mahusiano yenu .
Wataanza kuuliza maswali wakiamini tayari wameanza kuwa juu yako.Utasikia wanakwambia wanataka waanze kujitafuta bila uwepo wako. Hayo ni mahesabu makali ambayo wanawake wanakuwa wamepiga kwa bahati mbaya wanaume wengi wanakuwa wahanga kwenye udhalimu wao.
Huo ndio ukweli wanawake wengi matajiri duniani hawajaanzia chini ,Wengi wao wamefaidika na utajiri huo kutoka kwenye talaka za ndoa ,au kupata baadhi ya hisa za makampuni kutoka kwa waume zao au wazazi waπ΅prah ni mmoja wa wanawake wachache wanaoweza kusimama na kujitamba kuwa utajiri wake kaanza kuutafuta mwenyewe akiwa chini.
Uchunguzi uliofanywa na Forbes Billionaires unaonesha asilimia kubwa ya wanawake matajiri duniani wameupata kutokana na urithi na talaka.Majina kama Mackenzie Scott na Melinda French Gates hapo kichwani mwangu .Hawa ni baadhi ya wanawake mashuhuri ambao utajiri wao umetokana na mali walizopata baada ya kudai talaka kutoka kwa waume zao.
Angalia Marekani ,wanawake kwa asilimia 70% ndio waanzilishi wakubwa wa talaka. Wanawake wanasukumwa na kuvunja mahusiano ya mapenzi hili wapate nusu za mali kutoka kwa wanaume. Wanaume wanapokonywa mali zao walizozichuma kwa muda mrefu huku wake zao wakifaidika nazo bila hata kuzitolea jasho.
Mawazo ya wanawake wa sasa kwenye mchezo wa mapenzi yanatisha.Unaweza ukadhania yupo na wewe kihisia ,kumbe yupo kihisia za kiuchumi .Siku akipata nafasi nzuri ya kiuchumi lazima atatafuta mlango mwingine wa kutokea nje ya mahusiano aliyokuwa nayo sasa.
Mfumo umetengeneza hizi tabia ,Sheria za mahakama ya Talaka siyo rafiki kwa upande wa wanaume duniani .Kila kitu kinaenda kumfaidisha mwanamke kuanzia urithi wa baadhi ya mali,matunzo ya watoto na vitu vingine vingi .
Mahusiano kwa sasa yamekuwa kama ajira ya kudumu kwa wanawake wa kizazi hiki cha sasa ,kama mwanaume una jukumu binafsi la kulinda mali zako na uchumi wako binafsi .Dunia ya sasa imejaa wanawake ambao wanawatumia wanaume kama ngazi ya kutafuta mafanikio na kutoboa kimaisha .