Mahusiano mabaya aliyopitia Kasinde kwenye maisha yake (uhalisia)

Mahusiano mabaya aliyopitia Kasinde kwenye maisha yake (uhalisia)

Hahaha...

Hewalaaa kumbe ulichelewa kuanza kuchoma utambi, la sivyo jamaa ungekuwa unamletea noma kubwa ukishakuwa high...

Kasinde hapo kwa simu nilitaka tu kucross check timeline ili nipate koneksheni, hatimaye umenisaidia kuipata 🤗🤗

Aahahahahaha shuga acha kukonekti sana, connection zingine zinaleta shoti 😜
 
Umezua mjadala mwengine bila kujua kuufunika ...........

"Jamaa aliyenitoa bikira akaniambia hapa hatuna la kufanya turudi nyumbani tukaendelee kupoozana kesho alfajiri unaondoka na gari za Mombasa saa moja na nusu uko Tanga unaingia kazini."

Haya tuambie kumbe watoa bikra wana special place kwenye mioyo ya watu?

Not on my side, nilimkumbuka sababu nilikuwa na stress za mahusiano. Akachukua nafasi hiyo anifariji kwa huba....

Haikufaa / haikuwa suluhu na wala sikurejea kwake tena.
 
Kuna point umesema kwamba akina baba waongee vizuri na watoto wao wa kike kujua maswahibu wanayokutana nayo na kuwapa msaada na kama siyo wao basi kaka wachukue nafasi.

Mimi binafsi huwa sipendi kuona mtoto wa kike akinyanyasika mbele yangu halafu nishindwe kumsaidia, huwa ninaingilia ugomvi kwasababu mama yangu aliwahi kusema 'tangia niwe na baba yako sikuwahi kupigwa hata kibao '

Kuna mzee mmoja aliwahi kunambia hata siku moja usikubali mwanamke akanyanyasika na kuonewa mbele yako,ukimuacha bila kumsaidia utaonekana dhaifu.

Sasa dada yangu mmojawapo aliolewa, akapata watoto ,baadaye mwanaume akaanza kumzingua akimuona hana maana tena, kesi zote napewa mimi, nilivyovumilia nikachoka, siku moja nilikwenda na gari la mizigo nikamwambia fungasha kila kilicho chako nakurudisha nyumbani.

Yeye na watoto wake mpaka leo hii wapo nyumbani nilichomwambia kama atahitaji kuona watoto aje hapa hapa nyumbani maana hawezi kukunyanyasa ukiwa kwenu, shemeji yangu sikuwahi kumwambia chochote na huwa tukikutana ni salamu na story as if hakijatokea kitu.

Kwahiyo kaka ku- act kuisadia jinsia ya kike haijalishi ni mkubwa kwako au mdogo cha msingi simama kwenye uanaume wako. Nyinyi mnatutegemea sana kwenye kuwapa miongozo.

Pole sana Kasie.

Baraka tele kwako kaka mtu.
 
Hahah sawa Kasinde wa babu ☺️

Babu yako ananikorogea ugoro anachanganya na ganja ya chuga.....

Yaani nalewa kila saa namtaja yeye tuu.....

I just love the way he loves me 🥰.
 
Kasie:

Kuna viashiaria uliviona mwanzo, kwa nini ujipe moyo kuwa atabadilika ilihali si kweli ?? Unakuwa na mtu kwa sababu ya!!

Hadi kesho sina majibu.....

Ya kutokea yalishatokea, imebaki stori...
 
Sio tu bullying, watu humu wanajiona wasafi kila sekta ni vile tuu mambo yao hayajulikani.

Kikubwa usijifungamanishe na maisha ya mtu. Kila mtu akale, kuoga na kulala kwake.

Humu inabaki story tuu.
Ndo nafanya tangu niwajue wazandiki wa humu,, Asante kwa kukazia
 
Pole sana.
Sasa hiyo miaka 10 yote ulikua nae kisa shoo tu?? Hapo katikati hukupata wengine wakukutreat vizuri ukaachana na huyo baradhuli!? Au ni vitisho pia vilichangia ukawa muoga??
 
Nilikaa mseja kipindi kirefu sana nikijitibu/ nikitibiwa afya ya akili...
Ilibaki almanusura nilazwe Muhimbili sacatric baada ya kuachana nae.....

Babu nilikuja kukutana nae miaka 15 baadae.....

Hapo kati kote nilikuwa naishi kwa msuba /ganja.....

Wasn’t easy at all....!

HollyGod am outer there.
Cannabis leave ur comment here
 

Kwako my beloved Kasie uwe na siku njema kwako nijibu kwa wakati huo na huu wimbo unakumbuka nini.
 
Back
Top Bottom