Hahaha...
Hewalaaa kumbe ulichelewa kuanza kuchoma utambi, la sivyo jamaa ungekuwa unamletea noma kubwa ukishakuwa high...
Kasinde hapo kwa simu nilitaka tu kucross check timeline ili nipate koneksheni, hatimaye umenisaidia kuipata 🤗🤗
Kumbuka mwenzio nimestaafu mwaka jana.... nikiwa nina miaka zaidi ya 55.....
Sasa mwaka 1990 nakuwaje Primary?
Rudia kusoma tena uzi wote taratibu utanielewa.
Umezua mjadala mwengine bila kujua kuufunika ...........
"Jamaa aliyenitoa bikira akaniambia hapa hatuna la kufanya turudi nyumbani tukaendelee kupoozana kesho alfajiri unaondoka na gari za Mombasa saa moja na nusu uko Tanga unaingia kazini."
Haya tuambie kumbe watoa bikra wana special place kwenye mioyo ya watu?
Kuna point umesema kwamba akina baba waongee vizuri na watoto wao wa kike kujua maswahibu wanayokutana nayo na kuwapa msaada na kama siyo wao basi kaka wachukue nafasi.
Mimi binafsi huwa sipendi kuona mtoto wa kike akinyanyasika mbele yangu halafu nishindwe kumsaidia, huwa ninaingilia ugomvi kwasababu mama yangu aliwahi kusema 'tangia niwe na baba yako sikuwahi kupigwa hata kibao '
Kuna mzee mmoja aliwahi kunambia hata siku moja usikubali mwanamke akanyanyasika na kuonewa mbele yako,ukimuacha bila kumsaidia utaonekana dhaifu.
Sasa dada yangu mmojawapo aliolewa, akapata watoto ,baadaye mwanaume akaanza kumzingua akimuona hana maana tena, kesi zote napewa mimi, nilivyovumilia nikachoka, siku moja nilikwenda na gari la mizigo nikamwambia fungasha kila kilicho chako nakurudisha nyumbani.
Yeye na watoto wake mpaka leo hii wapo nyumbani nilichomwambia kama atahitaji kuona watoto aje hapa hapa nyumbani maana hawezi kukunyanyasa ukiwa kwenu, shemeji yangu sikuwahi kumwambia chochote na huwa tukikutana ni salamu na story as if hakijatokea kitu.
Kwahiyo kaka ku- act kuisadia jinsia ya kike haijalishi ni mkubwa kwako au mdogo cha msingi simama kwenye uanaume wako. Nyinyi mnatutegemea sana kwenye kuwapa miongozo.
Pole sana Kasie.
Aahahahahaha shuga acha kukonekti sana, connection zingine zinaleta shoti 😜
Ahsante sana dada yangu.Baraka tele kwako kaka mtu.
Mmmh sawa bibieYES.
Ndo nafanya tangu niwajue wazandiki wa humu,, Asante kwa kukaziaSio tu bullying, watu humu wanajiona wasafi kila sekta ni vile tuu mambo yao hayajulikani.
Kikubwa usijifungamanishe na maisha ya mtu. Kila mtu akale, kuoga na kulala kwake.
Humu inabaki story tuu.
[emoji12][emoji12]Once in a while yeah...[emoji39]
Huna hakika tena. Tunaomba kapicha ka kitambo hiyoSina hakika.
Cannabis leave ur comment hereNilikaa mseja kipindi kirefu sana nikijitibu/ nikitibiwa afya ya akili...
Ilibaki almanusura nilazwe Muhimbili sacatric baada ya kuachana nae.....
Babu nilikuja kukutana nae miaka 15 baadae.....
Hapo kati kote nilikuwa naishi kwa msuba /ganja.....
Wasn’t easy at all....!
HollyGod am outer there.