Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,148
- 2,815
Hayafiki mbali sababu ya nyie wanaume kuharakia utelezi love! Unakuta mtu niko na mibalaa yakwendraaa huna hata muda wa kutaka kunijuuaa Aloooooooooohh utajua hujuiiiiπ
Huwezi kupima kwa macho sweetheartHayafiki mbali sababu ya nyie wanaume kuharakia utelezi love! Unakuta mtu niko na mibalaa yakwendraaa huna hata muda wa kutaka kunijuuaa Aloooooooooohh!
Kwa macho mnapima kwanza afya loveHuwezi kupima kwa macho sweetheart
Izo stage mpaka uje upewe mizinga imekukausha.ππKwa macho mnapima kwanza afya love
Vingine ni suala la muda kupitia hizo stages
Urafiki ~mahusiano~ mapenzi ~seleka/ Vurugu πππ!
Muda ni mali, ndani ya masaa mawili mnapaswa kua mshamalizana kila kitu, alafu ndiyo mengine yanafuata...Kwa macho mnapima kwanza afya love
Vingine ni suala la muda kupitia hizo stages
Urafiki ~mahusiano~ mapenzi ~seleka/ Vurugu πππ!
Weeeeeehhhh pepo trokkkaaaaaaah!Muda ni mali, ndani ya masaa mawili mnapaswa kua mshamalizana kila kitu, alafu ndiyo mengine yanafuata...
Pepo utamfukuza, ila ibilisi hafukiziki mpaka akamlishe yake...Weeeeeehhhh pepo trokkkaaaaaaah!
Sheeeeeeennndwwwaaaaahhh! Ndio majuto yanakuja kuwa mjukuu staki mi walai!
πππππππ!Pepo utamfukuza, ila ibilisi hafukiziki mpaka akamlishe yake...
Kwani hapa ni wapi sweetheart... Hapa siyo mbali kwani...πππππππ!
Umetishaaa!
Naomba mi nawe tufike mbali .
Amen π
Kweli love hapa tu ni mbali kiukweli!Kwani hapa ni wapi sweetheart... Hapa siyo mbali kwani...
Nyie wapuuzi ndo mnaharakia shekeli/pesaHayafiki mbali sababu ya nyie wanaume kuharakia utelezi love! Unakuta mtu niko na mibalaa yakwendraaa huna hata muda wa kutaka kunijuuaa Aloooooooooohh utajua hujuiiii[emoji4]
Wanakuja kukupa mwongozo Mkuu!!!Sababu kubwa ya mahusiano mengi kutokufika mbali watu Wana force kubadilishana tabia kwa haraka
Jambo kubwa na la muhimu watu wanalopaswa walitambue .
Katika mahusiano unakutana na mtu ukubwani haujui Maisha aliyopitia au matukio aliyokutananayo mpaka kufikia umri huo . Hauwezi kwa haraka ukambadilisha mtu au kutaka ufananenae tabia kwa asilimia zote hio ni ngumu . Wengi wanashindwa kulitambua hili