Mahusiano mengi yanavunjika kwa sababu wanawake wanahisi wao peke yao ndo wanahitaji furaha

Mahusiano mengi yanavunjika kwa sababu wanawake wanahisi wao peke yao ndo wanahitaji furaha

Ali Nassor Px

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2022
Posts
2,384
Reaction score
3,926
KIBIOLOJIA Mahusiano Mengi Yanavunjika Kwa Sababu Wanawake Wanahisi Wao Peke Yao Ndo Wanahitaji Furaha.

Lakini wanawake wengi wana amni wao ndo wanasitahili furah kuliko mwanaume na akiikosa furaha mwanamke mwanaume unaonekana hufai kabisa na mwanaume anaonekana haumjali.

Kiasili wanawake ni selfish yani ndo kaumbwa hivyo na ni ngumu kumbadilisha na haiwezekani yani ukitaka kumbadilisha kwenye kipengele cha uselfish utakufa mapema. Ndo maana hata maandiko yanasema

mtume muhammad Swalallahu a'layh wasaalam amesema "mwanamke ni kama ubavu uliopinda ukiunyoosha sana basi utauvunja na ukiuwacha basi utapinda zaidi hivyo mnatakiwa muulee kati na kati" yani usipinde sana wala usinyooke sana hawa ndio wanawake wana mapungufu makubwa mno. Kwenye biblia pia "wanawake waheshimuni wanaume zenu🖋️" maana hawawezi kupenda kwakuwa ni naturally Selfish, basi angalau watoe heshima na utii tu.

Ndo maana wao hupenda kutendewa vizuri kupewa zaidi KULIKO kutoa, it's not surprising mwanamke kulalamika kupewa zawadi hata kama uliwahi fanya hivyo mara nyingi zaidi ya kutokufanya.

Kuna mda mwanaume sio kama hatutaki maisha mazuri na kuwapa wanawake kila munachokitaka ila. Kuna muda Hupewi Kinachostahili Unapewa Kilichopo. Upofu wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe wanaume ni ngumu sana kubadilika kitabia

Mfano mwanaume anaweza kukaa na wavuta bangi na ndo rafiki zake lakini anaweza kukaa nao na asivute bangi hata siku moja lakini kwa upande wa pili ipo tofauti kidogo

Akikaa na maslay queen wavaa mawigi na yeye atataka kuvaa mawigi . ukiona mwanamke kabadilika kitabia cha kwanza ebu chunguza kwanza anakaa na marafiki wenye tabia gani .... Jinsia ya KIKE haijawahi lizika kwa chochote. Kama mwanaume relax we fanya mambo yako tu kama mwanaume.

Karibu kujadili mada kwa pamoja na mimi pia naomba unipigie kura na kwenye stories of change ...thread title UCHUMI NA MAENDELEO

1660543792132.jpg

 
Ela ya nauli atoe mwanaume

Ela ya chakula atoe mwanaume

Ela ya lodge atoe mwanaume

Mauno na kumfikisha kileleni ni jukumu la mwanaume

Ela ya sabuni atoe mwanaume

Ela ya ahsante babe! atoe mwanaume

Hiki si kifo jamani wakuu, hakuna muda wa mwanaume kuridhika kabisa, mwanaume anakuwa boss ila mtumwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KIBIOLOJIA Mahusiano Mengi Yanavunjika Kwa Sababu Wanawake Wanahisi Wao Peke Yao Ndo Wanahitaji Furaha.

Lakini wanawake wengi wana amni wao ndo wanasitahili furah kuliko mwanaume na akiikosa furaha mwanamke mwanaume unaonekana hufai kabisa na mwanaume anaonekana haumjali
Hapa inabidi tuanze na mzizi wa tatizo sio matawi maana kuna wanawake ambao wanajua kuvumilia msoto sio mchezo, that means sio wote ambao wapo hivyo ukiangalia kwenye 10 wenye tabia za hivyo yupo mmoja au wawili ambao wapo tofauti
 
Ela ya nauli atoe mwanaume

Ela ya chakula atoe mwanaume

Ela ya lodge atoe mwanaume

Mauno na kumfikisha kileleni ni jukumu la mwanaume

Ela ya sabuni atoe mwanaume

Ela ya ahsante babe! atoe mwanaume

Hiki si kifo jamani wakuu, hakuna muda wa mwanaume kuridhika kabisa, mwanaume anakuwa boss ila mtumwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23] poleni
 
Ela ya nauli atoe mwanaume

Ela ya chakula atoe mwanaume

Ela ya lodge atoe mwanaume

Mauno na kumfikisha kileleni ni jukumu la mwanaume

Ela ya sabuni atoe mwanaume

Ela ya ahsante babe! atoe mwanaume

Hiki si kifo jamani wakuu, hakuna muda wa mwanaume kuridhika kabisa, mwanaume anakuwa boss ila mtumwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na usipotimiza moja kati ya hayo unaachwa
 
Umetema madini boss wangu, najua wanawake wengi wa JF watapita kimyaaaa...

Sasa bora ambae anafanyiwa mazuri na huku anatoa papuchi..

Kuna ng’ombe zingine zinataka kuhudumiwa alafu kuliwa tunda hazitaki..
aiseee Hapo mimi huwa nageuka kuwa katili zaidi ya shetani, sipendi ujinga kabisa.
 
KIBIOLOJIA Mahusiano Mengi Yanavunjika Kwa Sababu Wanawake Wanahisi Wao Peke Yao Ndo Wanahitaji Furaha.

Lakini wanawake wengi wana amni wao ndo wanasitahili furah kuliko mwanaume na akiikosa furaha mwanamke mwanaume unaonekana hufai kabisa na mwanaume anaonekana haumjali

Wasituchoshe
 
KIBIOLOJIA Mahusiano Mengi Yanavunjika Kwa Sababu Wanawake Wanahisi Wao Peke Yao Ndo Wanahitaji Furaha.

Lakini wanawake wengi wana amni wao ndo wanasitahili furah kuliko mwanaume na akiikosa furaha mwanamke mwanaume unaonekana hufai kabisa na mwanaume anaonekana haumjali
Inasikitisha sana
 
Umetema madini boss wangu, najua wanawake wengi wa JF watapita kimyaaaa...

Sasa bora ambae anafanyiwa mazuri na huku anatoa papuchi..

Kuna ng’ombe zingine zinataka kuhudumiwa alafu kuliwa tunda hazitaki..
aiseee Hapo mimi huwa nageuka kuwa katili zaidi ya shetani, sipendi ujinga kabisa.
Kuna mmoja nimemchana juzi,maana anaomba tu vihela ila kuliwa ananipanga
Nikamwambia naona hauna mpango namimi pita hivi.
 
KIBIOLOJIA Mahusiano Mengi Yanavunjika Kwa Sababu Wanawake Wanahisi Wao Peke Yao Ndo Wanahitaji Furaha.

Lakini wanawake wengi wana amni wao ndo wanasitahili furah kuliko mwanaume na akiikosa furaha mwanamke mwanaume unaonekana hufai kabisa na mwanaume anaonekana haumjali
It's true kunalakujifunza
 
Back
Top Bottom