Mahusiano mengi yanavunjika kwa sababu wanawake wanahisi wao peke yao ndo wanahitaji furaha

Mahusiano mengi yanavunjika kwa sababu wanawake wanahisi wao peke yao ndo wanahitaji furaha

KIBIOLOJIA Mahusiano Mengi Yanavunjika Kwa Sababu Wanawake Wanahisi Wao Peke Yao Ndo Wanahitaji Furaha.

Lakini wanawake wengi wana amni wao ndo wanasitahili furah kuliko mwanaume na akiikosa furaha mwanamke mwanaume unaonekana hufai kabisa na mwanaume anaonekana haumjali.

Mwanamke.jpeg
 
Ubinafsi umetujaa ndo maana. Tunatakaga sisi tu. Na hakuna kitu kibaya kama kuwa mpokeaji tu na sio mtoaji.
 
Umetema madini boss wangu, najua wanawake wengi wa JF watapita kimyaaaa...

Sasa bora ambae anafanyiwa mazuri na huku anatoa papuchi..

Kuna ng’ombe zingine zinataka kuhudumiwa alafu kuliwa tunda hazitaki..
aiseee Hapo mimi huwa nageuka kuwa katili zaidi ya shetani, sipendi ujinga kabisa.
Sijui zinahisigi wewe na baba yake!!
 
Kuna mmoja nimemchana juzi,maana anaomba tu vihela ila kuliwa ananipanga
Nikamwambia naona hauna mpango namimi pita hivi.
umeamua vyema kabisa, akanyage kubwa kubwa akienda
 
Back
Top Bottom