Mahusiano mengi yanavunjika kwa sababu wanawake wanahisi wao peke yao ndo wanahitaji furaha

Mahusiano mengi yanavunjika kwa sababu wanawake wanahisi wao peke yao ndo wanahitaji furaha

Na usipotimiza moja kati ya hayo unaachwa
Na kuna wakati, unaweza ukawa na mambo 10 ya kumtimizia. Likishindikana moja na huku tisa yamewezekana, MALALAMIKO YAKE YANAKUWA SI YA NCHI HII..!! Mtu analalama mpaka unaweza ukadhani ungelikamilisha hilo moja na ungeyaacha yale tisa labda asingelalama..!!
 
Na kuna wakati, unaweza ukawa na mambo 10 ya kumtimizia. Likishindikana moja na huku tisa yamewezekana, MALALAMIKO YAKE YANAKUWA SI YA NCHI HII..!! Mtu analalama mpaka unaweza ukadhani ungelikamilisha hilo moja na ungeyaacha yale tisa labda asingelalama..!!
Taabu sana,
Unampa pesa leo, kesho akiomba usipompa hayo malalmiko utafikiri hujawahi kumpa pesa hata siku moja.
 
Hii mada imenigusa Moja kwa Moja,

Jana usku nmetoka kugombana na mamaJ kisa suala la kutokwenda kwake mchana kumpa haki yake.

Usku wa manane wa kuamkia Jana niliwasili nkitokea Safar, sikuepo wiki nzima. Akasema kanimiss, nifanye nikampe Hali yake asbh hiyo hiyo.

Nikamwambia nmechoka Sana,
Asbh Hii acha nipumzike afu mchana ntakuja nikupe Haki yako. Akasema sawa

Sijakaa sawa,
Asbh hiyo hiyo nikaitiwa dili ya hela ofsin.
Ikabd niache kupumzika niende kwenye dili
Nmerud saa 10jion kulala na kupumzika, kanipigia niende hata usiku nmemweleza kua nmechoka sana. Asbh ile badala ya kupumzika,niliunga Tena ofsin.
Tufanye kesho, nna usgz sn Kichwa mpk kinaniuma, acha niupumzishe mwili.

Anacholazimisha eti dili langu halimuhusu, anachotaka Ni Haki yake. Nikaona mpuuz uyu, Nikamkatia Simu nikalala zangu usngz kwangu.

Nmempigia alfajr ya leo hajapokea Simu,
asbh naenda kazin nikampitia kwake. Kanuna,kafura na kavuta mdomo hata salamu yangu hataki kuitikia.

Nikaona ananipotezea MDA,
Nikaachana nae nmeenda kazin kwangu,
Hasira zake za kipuuz zikiisha ntarud nimpe haki yake.

Tukirud kwenye hoja,
UNALOLISEMANI SAHII KABISA,

Kuna baadhi ya WANAWAKE NI WABINAFS WAKUBWA sana WA HISIA.
 
Hii mada imenigusa Moja kwa Moja,

Jana usku nmetoka kugombana na mamaJ kisa suala la kutokwenda kwake mchana kumpa haki yake.
Kuna mmoja huyo nimekutana nae majuzi tukabadilishana namba nikamuomba mzigo akasema niendelee kusubiri.

Sasa kanipiga mzinga wa kwanza nikampa,kesho yake tena akaja na shida nyingine nikamuhaidi ntamtumia kesho yake.

Sasa imefika kesho yake sikua nimemtumia hadi mchana,nikakuta meseji mbili za lawama sana kwamba ananitegemea

Nikapata hasira maana dalili ya kumla haipo afu anaomba invoice kwa lawama nikamchana live kwamba,me naona hili penzi halijabalance maana siwez endelea kukutumia vimiamala vyangu wakati sina hakika kama kweli umeniridhia so njoo unipe mambo nijue kweli tuko pamoja

Akanijibu kwamba haitaji maelezo mengi kama imeshindikana basi[emoji23]

Ikaisha hivo hadi leo.
 
Umetema madini boss wangu, najua wanawake wengi wa JF watapita kimyaaaa...

Sasa bora ambae anafanyiwa mazuri na huku anatoa papuchi..

Kuna ng’ombe zingine zinataka kuhudumiwa alafu kuliwa tunda hazitaki..
aiseee Hapo mimi huwa nageuka kuwa katili zaidi ya shetani, sipendi ujinga kabisa.
Fact mzee
 
Na kuna wakati, unaweza ukawa na mambo 10 ya kumtimizia. Likishindikana moja na huku tisa yamewezekana, MALALAMIKO YAKE YANAKUWA SI YA NCHI HII..!! Mtu analalama mpaka unaweza ukadhani ungelikamilisha hilo moja na ungeyaacha yale tisa labda asingelalama..!!
Na ndo maana tunakuf mapema
 
Kuna mmoja huyo nimekutana nae majuzi tukabadilishana namba nikamuomba mzigo akasema niendelee kusubiri.

Sasa kanipiga mzinga wa kwanza nikampa,kesho yake tena akaja na shida nyingine nikamuhaidi ntamtumia kesho yake.

Sasa imefika kesho yake sikua nimemtumia hadi mchana,nikakuta meseji mbili za lawama sana kwamba ananitegemea

Nikapata hasira maana dalili ya kumla haipo afu anaomba invoice kwa lawama nikamchana live kwamba,me naona hili penzi halijabalance maana siwez endelea kukutumia vimiamala vyangu wakati sina hakika kama kweli umeniridhia so njoo unipe mambo nijue kweli tuko pamoja

Akanijibu kwamba haitaji maelezo mengi kama imeshindikana basi[emoji23]

Ikaisha hivo hadi leo.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hii mada imenigusa Moja kwa Moja,

Jana usku nmetoka kugombana na mamaJ kisa suala la kutokwenda kwake mchana kumpa haki yake.

Usku wa manane wa kuamkia Jana niliwasili nkitokea Safar, sikuepo wiki nzima. Akasema kanimiss, nifanye nikampe Hali yake asbh hiyo hiyo.

Nikamwambia nmechoka Sana,
Asbh Hii acha nipumzike afu mchana ntakuja nikupe Haki yako. Akasema sawa

Sijakaa sawa,
Asbh hiyo hiyo nikaitiwa dili ya hela ofsin.
Ikabd niache kupumzika niende kwenye dili
Nmerud saa 10jion kulala na kupumzika, kanipigia niende hata usiku nmemweleza kua nmechoka sana. Asbh ile badala ya kupumzika,niliunga Tena ofsin.
Tufanye kesho, nna usgz sn Kichwa mpk kinaniuma, acha niupumzishe mwili.

Anacholazimisha eti dili langu halimuhusu, anachotaka Ni Haki yake. Nikaona mpuuz uyu, Nikamkatia Simu nikalala zangu usngz kwangu.

Nmempigia alfajr ya leo hajapokea Simu,
asbh naenda kazin nikampitia kwake. Kanuna,kafura na kavuta mdomo hata salamu yangu hataki kuitikia.

Nikaona ananipotezea MDA,
Nikaachana nae nmeenda kazin kwangu,
Hasira zake za kipuuz zikiisha ntarud nimpe haki yake.

Tukirud kwenye hoja,
UNALOLISEMANI SAHII KABISA,

Kuna baadhi ya WANAWAKE NI WABINAFS WAKUBWA sana WA HISIA.
Watatuua mapema tukiwaendekeza sana
 
Umetema madini boss wangu, najua wanawake wengi wa JF watapita kimyaaaa...

Sasa bora ambae anafanyiwa mazuri na huku anatoa papuchi..

Kuna ng’ombe zingine zinataka kuhudumiwa alafu kuliwa tunda hazitaki..
aiseee Hapo mimi huwa nageuka kuwa katili zaidi ya shetani, sipendi ujinga kabisa.
Hapa watapita kimya kimya🤣🤣🤣🤣
 
Ela ya nauli atoe mwanaume

Ela ya chakula atoe mwanaume

Ela ya lodge atoe mwanaume

Mauno na kumfikisha kileleni ni jukumu la mwanaume

Ela ya sabuni atoe mwanaume

Ela ya ahsante babe! atoe mwanaume

Hiki si kifo jamani wakuu, hakuna muda wa mwanaume kuridhika kabisa, mwanaume anakuwa boss ila mtumwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] tutapata taabu sanaa
 
Kuna mmoja nimemchana juzi,maana anaomba tu vihela ila kuliwa ananipanga
Nikamwambia naona hauna mpango namimi pita hivi.
Kwani kua na mpango na ww hadi akupe tunda?

ila ndo ivyo at mim nauzika hawa viumbe basi tyu
Ninaa dem hyoo mlokolee shida kutoa mbususu..
 
Hii mada imenigusa Moja kwa Moja,

Jana usku nmetoka kugombana na mamaJ kisa suala la kutokwenda kwake mchana kumpa haki yake.

Usku wa manane wa kuamkia Jana niliwasili nkitokea Safar, sikuepo wiki nzima. Akasema kanimiss, nifanye nikampe Hali yake asbh hiyo hiyo.

Nikamwambia nmechoka Sana,
Asbh Hii acha nipumzike afu mchana ntakuja nikupe Haki yako. Akasema sawa

Sijakaa sawa,
Asbh hiyo hiyo nikaitiwa dili ya hela ofsin.
Ikabd niache kupumzika niende kwenye dili
Nmerud saa 10jion kulala na kupumzika, kanipigia niende hata usiku nmemweleza kua nmechoka sana. Asbh ile badala ya kupumzika,niliunga Tena ofsin.
Tufanye kesho, nna usgz sn Kichwa mpk kinaniuma, acha niupumzishe mwili.

Anacholazimisha eti dili langu halimuhusu, anachotaka Ni Haki yake. Nikaona mpuuz uyu, Nikamkatia Simu nikalala zangu usngz kwangu.

Nmempigia alfajr ya leo hajapokea Simu,
asbh naenda kazin nikampitia kwake. Kanuna,kafura na kavuta mdomo hata salamu yangu hataki kuitikia.

Nikaona ananipotezea MDA,
Nikaachana nae nmeenda kazin kwangu,
Hasira zake za kipuuz zikiisha ntarud nimpe haki yake.

Tukirud kwenye hoja,
UNALOLISEMANI SAHII KABISA,

Kuna baadhi ya WANAWAKE NI WABINAFS WAKUBWA sana WA HISIA.
Huu ni mpango kando? aka Project Hasara?
 
Na kuna wakati, unaweza ukawa na mambo 10 ya kumtimizia. Likishindikana moja na huku tisa yamewezekana, MALALAMIKO YAKE YANAKUWA SI YA NCHI HII..!! Mtu analalama mpaka unaweza ukadhani ungelikamilisha hilo moja na ungeyaacha yale tisa labda asingelalama..!!
Hawa viumbe ukitafuta kuwaelewa unatafuta kifo
 
Back
Top Bottom