Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
KIBIOLOJIA Mahusiano Mengi Yanavunjika Kwa Sababu Wanawake Wanahisi Wao Peke Yao Ndo Wanahitaji Furaha.
Lakini wanawake wengi wana amni wao ndo wanasitahili furah kuliko mwanaume na akiikosa furaha mwanamke mwanaume unaonekana hufai kabisa na mwanaume anaonekana haumjali.
Sijui zinahisigi wewe na baba yake!!Umetema madini boss wangu, najua wanawake wengi wa JF watapita kimyaaaa...
Sasa bora ambae anafanyiwa mazuri na huku anatoa papuchi..
Kuna ng’ombe zingine zinataka kuhudumiwa alafu kuliwa tunda hazitaki..
aiseee Hapo mimi huwa nageuka kuwa katili zaidi ya shetani, sipendi ujinga kabisa.
Kuna mwingine yeye, mume simu ikiharibika akahitajika kununua nyingine, utamsikia.. NUNUA MPYA HALAFU TUBADILISHANE, UCHUKUE YANGU MIMI NIICHUKUE HIYO MPYA ULIYOINUNUA..!!Taabu sana,
Unampa pesa leo, kesho akiomba usipompa hayo malalmiko utafikiri hujawahi kumpa pesa hata siku moja.
KaribuNakuja ila awe mwanamke wa kuelweka tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
umeamua vyema kabisa, akanyage kubwa kubwa akiendaKuna mmoja nimemchana juzi,maana anaomba tu vihela ila kuliwa ananipanga
Nikamwambia naona hauna mpango namimi pita hivi.