Mahusiano na dada wa kambo

Ni kweli mkuu na kuendelea kulana pia ni Zambi mbaya sana ila ndio hivyo tatizo moyo .


Tumetokea kupendana sana
 
Washirikisheni wazazi wenu, mnaweza shangaa kusiwe na kipingamizi chochote na hata vikiwepo nyie angalieni upendo wenu wa dhati, nyie sio ndugu mnaoana mchana kweupeee,

Btw, how comes hamkupeana ujauzito miaka 17 mlikua mnasex hovyo hovyo hivyo na mpaka sasa sina shaka bado hamjapata watoto, mkapimane mapema kabla hamjaoana msije mkasingizia laana sijui upuuzi gani.
 
Neno murua
 
Kama unavyojua uhusiano wetu ulikuwa wa siri na bado ni wa siri hivyo tulikuwa makini changamoto kama hizo ikiwemo kufumwa au kupeana ujauzito zisijitokeze na binti alikuwa anajua mzunguko wake vizuri hata ukibadilika.


Hapo kwenye kuanza kuwaambia mzazi ndio mtihani sasa hapo ndipo kichwa kinauma

Nimfuata huyo baba yangu nimwambie nina mahusiano na mtoto wake ambaye anajua kwangu ni dada wa kambo amenilea naye toka nina miaka 17 yaani hapo ndipo changamoto
 
Kama mama yako hakubahatika kuzaa na huyo baba wa kambo na wakaachana, mim sioni muunganiko wowote wa kiundugu.
Walioana ndoa ya kidini kabisa na mama yangu hamna undugu hapo ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…