Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Muache aolewe na mtu ila wewe uwe unaichapa tu mpaka atakapopata mumeNa ndiyo hili linatuumiza kichwa kwa sababu hata
kidini pia sio sawa
Hawawezi kuwaruhusu muoane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muache aolewe na mtu ila wewe uwe unaichapa tu mpaka atakapopata mumeNa ndiyo hili linatuumiza kichwa kwa sababu hata
kidini pia sio sawa
Pamoja Sana mkuuNime edit... nilichanganya..
Ni kweli mkuu na kuendelea kulana pia ni Zambi mbaya sana ila ndio hivyo tatizo moyo .Hilo suala wazazi wenu hawatakuwa tayari.
Baba wa huyo dada yako alikulea kama mtoto wake, namama yako akamlea huyo binti kama mwanae, hii mnaleta aibu kwa wazazi wenu na jamii nzima.
Usije kushangaa wazazi wakawalaani mkijifanya mnapendana sana na kutowasikiliza.
Kama mtaendelea kulana kimasikhara endeleeni ila suala la kuoa, utamfanya mama yako akuone ni mtoto mjinga na huna akili.
Udugu utaanzia Kwa mtoto atakayezaliwa na baba wa kambo na mama yako,Kitendo cha wazazi wenu kuoana undugu unaanzia hapo
Neno muruaWashirikisheni wazazi wenu, mnaweza shangaa kusiwe na kipingamizi chochote na hata vikiwepo nyie angalieni upendo wenu wa dhati, nyie sio ndugu mnaoana mchana kweupeee,
Btw, how comes hamkupeana ujauzito miaka 17 mlikua mnasex hovyo hovyo hivyo na mpaka sasa sina shaka bado hamjapata watoto, mkapimane mapema kabla hamjaoana msije mkasingizia laana sijui upuuzi gani.
Achana Na Dini Fanya Kile Kinachokupa Furaha Na Amani Ya Moyo,,Siku Za Furaha Ni Chache Katika Maisha Zitumie Kwa Usahihi Pale Zinapojitokeza Katika MaishaKwa dini yangu inaruhusu kuoa binamu lakini sio dada wa kambo
HakikaAchana Na Dini Fanya Kile Kinachokupa Furaha Na Amani Ya Moyo,,Siku Za Furaha Ni Chache Katika Maisha Zitumie Kwa Usahihi Pale Zinapojitokeza Katika Maisha
Ameen....Ty!!Hakika
Hapo kwenye jamii hapo ilishafanya hadi watu wakajiua ukiizingatia sana. Mbona Jamii yenyewe inafanya mambo yake yenyewe.Lakini baba yake alimuoa mama yangu huoni kama tayari alishaunganisha undugu na jamii itanichukuliaje ?
Kama unavyojua uhusiano wetu ulikuwa wa siri na bado ni wa siri hivyo tulikuwa makini changamoto kama hizo ikiwemo kufumwa au kupeana ujauzito zisijitokeze na binti alikuwa anajua mzunguko wake vizuri hata ukibadilika.Washirikisheni wazazi wenu, mnaweza shangaa kusiwe na kipingamizi chochote na hata vikiwepo nyie angalieni upendo wenu wa dhati, nyie sio ndugu mnaoana mchana kweupeee,
Btw, how comes hamkupeana ujauzito miaka 17 mlikua mnasex hovyo hovyo hivyo na mpaka sasa sina shaka bado hamjapata watoto, mkapimane mapema kabla hamjaoana msije mkasingizia laana sijui upuuzi gani.
Endeleeni kupendana.Ni kweli mkuu na kuendelea kulana pia ni Zambi mbaya sana ila ndio hivyo tatizo moyo .
Tumetokea kupendana sana
Walioana ndoa ya kidini kabisa na mama yangu hamna undugu hapo ?Kama mama yako hakubahatika kuzaa na huyo baba wa kambo na wakaachana, mim sioni muunganiko wowote wa kiundugu.