HideYoKids
Member
- Jan 11, 2025
- 52
- 72
- Thread starter
-
- #41
Nime Google kwa dini zote mbili maandiko yanakataa mkuu .Udugu utaanzia Kwa mtoto atakayezaliwa na baba wa kambo na mama yako,
Ila Kwa watoto uliowakuta Kwa baba wa kambo hamna damu Wala nasaba hapo,
Unapiga tu..ni kama kuoa mtoto wa baba mkubwa.
Ingekuwa ni rahisi ningemuoa hata kipindi tupo chuo I really love her . Infact tunapendana sanaOa tu mkuu
Dah😄Kulaneni tu hakuna namna hata huyo baba ukute ni kaka wa kambo wa mama yako ila hawajuani
MariposaWashirikisheni wazazi wenu, mnaweza shangaa kusiwe na kipingamizi chochote na hata vikiwepo nyie angalieni upendo wenu wa dhati, nyie sio ndugu mnaoana mchana kweupeee,
Btw, how comes hamkupeana ujauzito miaka 17 mlikua mnasex hovyo hovyo hivyo na mpaka sasa sina shaka bado hamjapata watoto, mkapimane mapema kabla hamjaoana msije mkasingizia laana sijui upuuzi gani.
Sio kwl mkuu.Nime Google kwa dini zote mbili maandiko yanakataa mkuu .
Shukuru Mungu kwa hilo .sio jambo zuri kuvutiwa na ndugu na ikitokea ikiafikia kipindi mmependana inakuwa mtihani mzitoMim sijawah vutiwa na ndugu zangu au wa kambo au wote ni sura mbaya nin
Hata mimi na shangaa kwanini uyo Demu ajapata mimba miaka yote iyoWashirikisheni wazazi wenu, mnaweza shangaa kusiwe na kipingamizi chochote na hata vikiwepo nyie angalieni upendo wenu wa dhati, nyie sio ndugu mnaoana mchana kweupeee,
Btw, how comes hamkupeana ujauzito miaka 17 mlikua mnasex hovyo hovyo hivyo na mpaka sasa sina shaka bado hamjapata watoto, mkapimane mapema kabla hamjaoana msije mkasingizia laana sijui upuuzi gani.
Anza kumwambia mama yako,. Na Binti aongee na baba yakeKama unavyojua uhusiano wetu ulikuwa wa siri na bado ni wa siri hivyo tulikuwa makini changamoto kama hizo ikiwemo kufumwa au kupeana ujauzito zisijitokeze na binti alikuwa anajua mzunguko wake vizuri hata ukibadilika.
Hapo kwenye kuanza kuwaambia mzazi ndio mtihani sasa hapo ndipo kichwa kinauma
Nimfuata huyo baba yangu nimwambie nina mahusiano na mtoto wake ambaye anajua kwangu ni dada wa kambo amenilea naye toka nina miaka 17 yaani hapo ndipo changamoto
But At what cost ?Achana Na Dini Fanya Kile Kinachokupa Furaha Na Amani Ya Moyo,,Siku Za Furaha Ni Chache Katika Maisha Zitumie Kwa Usahihi Pale Zinapojitokeza Katika Maisha
hata uzinzi dini zinakataa ila watu washafanya mpaka imekua normal, ukisema ushakula dem mmoja unaonekana boyaNime Google kwa dini zote mbili maandiko yanakataa mkuu .
Unaweza kufanya kitu kitamuumiza na kumuaibisha mama yako na kuvunja miko ya dini yako na jamii yako kwa ajili ya furaha yako ?Hakika
Ni kweli lakini huyo sio mwanamke wa kawaida ni dada wa kambohata uzinzi dini zinakataa ila watu washafanya mpaka imekua normal, ukisema ushakula dem mmoja unaonekana boya