Mahusiano na dada wa kambo

Mahusiano na dada wa kambo

Udugu utaanzia Kwa mtoto atakayezaliwa na baba wa kambo na mama yako,
Ila Kwa watoto uliowakuta Kwa baba wa kambo hamna damu Wala nasaba hapo,

Unapiga tu..ni kama kuoa mtoto wa baba mkubwa.
Nime Google kwa dini zote mbili maandiko yanakataa mkuu .
 
Mshakulana sanaa sanaa tena sanaa yan sanaa haha af kuoa unaona so, we mtaftie bimkubwa gia ya kumwambia akikubali oa make sio biological sister
 
Washirikisheni wazazi wenu, mnaweza shangaa kusiwe na kipingamizi chochote na hata vikiwepo nyie angalieni upendo wenu wa dhati, nyie sio ndugu mnaoana mchana kweupeee,

Btw, how comes hamkupeana ujauzito miaka 17 mlikua mnasex hovyo hovyo hivyo na mpaka sasa sina shaka bado hamjapata watoto, mkapimane mapema kabla hamjaoana msije mkasingizia laana sijui upuuzi gani.
Mariposa
 
Nime Google kwa dini zote mbili maandiko yanakataa mkuu .
Sio kwl mkuu.

Dini ya Islam ni halali mtoto ambaye hujanyonya nae ziwa Moja.
Ila kama amenyonya ziwa Moja ni haramu.
Kama mtoto wa shangazi au baba mdogo unaoa kwann ushindwe kuoa dada wa kambo?

Mtoto wa baba wa kambo hakuhusu wala huna damu naye.
 
Mim sijawah vutiwa na ndugu zangu au wa kambo au wote ni sura mbaya nin
Shukuru Mungu kwa hilo .sio jambo zuri kuvutiwa na ndugu na ikitokea ikiafikia kipindi mmependana inakuwa mtihani mzito

Maana hakuna kitu kinauma vibaya kama mapenzi mpendana na iwe ngumu kuwa wote inauma sana
 
Washirikisheni wazazi wenu, mnaweza shangaa kusiwe na kipingamizi chochote na hata vikiwepo nyie angalieni upendo wenu wa dhati, nyie sio ndugu mnaoana mchana kweupeee,

Btw, how comes hamkupeana ujauzito miaka 17 mlikua mnasex hovyo hovyo hivyo na mpaka sasa sina shaka bado hamjapata watoto, mkapimane mapema kabla hamjaoana msije mkasingizia laana sijui upuuzi gani.
Hata mimi na shangaa kwanini uyo Demu ajapata mimba miaka yote iyo
 
Kama unavyojua uhusiano wetu ulikuwa wa siri na bado ni wa siri hivyo tulikuwa makini changamoto kama hizo ikiwemo kufumwa au kupeana ujauzito zisijitokeze na binti alikuwa anajua mzunguko wake vizuri hata ukibadilika.


Hapo kwenye kuanza kuwaambia mzazi ndio mtihani sasa hapo ndipo kichwa kinauma

Nimfuata huyo baba yangu nimwambie nina mahusiano na mtoto wake ambaye anajua kwangu ni dada wa kambo amenilea naye toka nina miaka 17 yaani hapo ndipo changamoto
Anza kumwambia mama yako,. Na Binti aongee na baba yake
 
Hadi kulileta huku, means nafsi zenu ziwasuta na hamna amani. Sasa ya nini kung'ang'ana!!
 
Muoe kwani ndoa ni ya wawili. Pia nyie sio ndugu. Ila ndio vizuri umelipiza kisasi cha baba yako usikute uyo Jamaa ndio sababu ya baba yako kuachwa na mama yako.
 
Unaweza kufanya kitu kitamuumiza na kumuaibisha mama yako na kuvunja miko ya dini yako na jamii yako kwa ajili ya furaha yako ?

Nimependa ujasiri wako dada


Nadhani tukishindwa hivi vita na mimi nitaelekea hukuhuku


i need her so bad its getting worse by the day im actually crashing out i cant take it anymore. She's my world, and the only thing I could ask for as a necessities in my life.
 
Kimaadili si sawa na si sawa hata mbele za Mungu pia, maisha mliyoishi hayakua sahihi na ndio maana mlifanya siri. Pia hujui kwa nini mama yako aliachana na huyo baba yako wa kambo. In short mahusiano hayo ni batili mbele ya Wazazi wenu, Mbele ya Jamii na Mbele za Mungu pia. Sitisha haraka sana na upate msaada wa kiroho kwa watumishi wa Mungu maana hiyo inaweza kuja kuwa sababu ya laana kwa maisha yako na watoto wako baadae.
 
Hizi ndio MADA PENDWA za jamiiforums.

Hapa watu watatiririka kila aina ya hoja huku visimi vimewasimama wima, kila mtu atajifanya profesa wa mapenzi huku akitoa nasaha lukuki za huba.

Uzi una dakika kumi tu lakini comments zimefika buku!!! Hii kweli ni MBUNYETO, watu miboro imedinda tu!

Sasa NASEMAJEEE, NASEMAAAJEEEEE, endelea kuibamiza mbunye ya dada ako.

Cc: Dogoli kinyamkela Extrovert Poor Brain Mbaga Jr Kalpana Lamomy Labella Half american Intelligent businessman Nyani Ngabu ChoiceVariable chiembe raraa reree min -me Tlaatlaah Lucas Mwashambwa secretarybird
 
Endelea kuichapa usiku na mchana
FB_IMG_17365476955009233.jpg
 
Back
Top Bottom