Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Kakubali yaishe tu wala hata hajali, halafu inaonesha ni mpambanaji sana huyo Dada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu,Kakubali yaishe tu wala hata hajali, halafu inaonesha ni mpambanaji sana huyo Dada
Upendo kivip?Upendo,ukipenda unakuwa mtumwa
Hata simhongi mkuu?Mkuu unaingiza TSH million ngapi kwa mwezi tuanze na hapo, maana uko vizuri kwenye kuhonga DeepPond
Anakupenda sana,ila ndo Ivo Hana choice coz katambua kuwa huna interest nae
Sidhan mkuu,Wewe unadhani hizo posho ni ndogo kwake? Hebu fikiria angekuwa naki boyfriend cha ajabu kingemgegeda bure tu lakini wewe unamgegeda unamkata "kiu" na bado unampa 20 au 30. Unafanya mchezo nini. Yaani anarudi nyumbani hana hela ukija ukiondoka unamwacha mwepesi na bado ana misimbazi.
Angetambua angeshanambia au kunilaumu TU mkuu,
Ujue Yuko kimya na anatabasamu maisha yanasonga, yaan utadhan sijawahi mkosea.
Kama ulikuepo mkuu,Shukuru sana kwa huyo mwanamke,nakushauri umtumbue mama j halafu mpandishe rank huyu fundi nguo.
Sisi wengine tuna mkosi. .tukipewa mbususu ukaacha kahela kidogo tu kesho yake unapewa mkeka wa meseji
Vipi hali?.. nawewe umelala njaa kama mimi?
Kesho nauli ya kwenda kazini sina
Hela hunipi ntapata wapi hamu,ebu niachee
Nimekopa vitu vya 30k dukani,uje ulipe..
Usimfanyiee hivyooo mkuuu..yupoo real ndio hivyoo ajui afanyee Nini...muachee tu jumlaa basiKabisa mkuu
Sasa acha kumpa posho kila mkikikutana kama mara tatu hivi leta mrejeshoSidhan mkuu,
Mbona kama haiingii akilini mkuu,
Kwa mwanamke mpambanaj Kama yule kwamba Alikua kwangu kwa ajili ya hizo posho tu?[emoji848]