[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] cocastic ushapita hapa??Shukuru sana kwa huyo mwanamke,nakushauri umtumbue mama j halafu mpandishe rank huyu fundi nguo.
Sisi wengine tuna mkosi. .tukipewa mbususu ukaacha kahela kidogo tu kesho yake unapewa mkeka wa meseji
Vipi hali?.. nawewe umelala njaa kama mimi?
Kesho nauli ya kwenda kazini sina
Hela hunipi ntapata wapi hamu,ebu niachee
Nimekopa vitu vya 30k dukani,uje ulipe..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Shukuru sana kwa huyo mwanamke,nakushauri umtumbue mama j halafu mpandishe rank huyu fundi nguo.
Sisi wengine tuna mkosi. .tukipewa mbususu ukaacha kahela kidogo tu kesho yake unapewa mkeka wa meseji
Vipi hali?.. nawewe umelala njaa kama mimi?
Kesho nauli ya kwenda kazini sina
Hela hunipi ntapata wapi hamu,ebu niachee
Nimekopa vitu vya 30k dukani,uje ulipe..
Njema sana kaka! Kitambo sana jakuona naona umetibgwa na micheps 🤣🤣😂!Naaam dada angu,
Za masiku[emoji4]
Tupo,Njema sana kaka! Kitambo sana jakuona naona umetibgwa na micheps [emoji1787][emoji1787][emoji23]!
Hivi na mama J mu hali kakangu??
Niko Kawaida mno mkuu,Mkuu kipindi unayaanza maisha ulikuwa na genye kiasi hicho au ni baada ya kuzipata[emoji23][emoji23]
Mali ya mtu[emoji4]Wakati naanza kusoma sikuangalia I'd lakini nikajisemea mbona huyu kama @ DeepPond nakuja kuchek kumbe kweli ni wewe. Pole mkuu lakini wapo wanawake wa hivyo na sio kwamba wanajali kitu mioyoni mwao washajionea sawa tu na hawana habari na mahusiano.
Anaweza kuwa na wanaume wengine au hata asiwe nae kabisaa yote yanawezekana
Hahaa! Thats called reality!!
[emoji28][emoji28]
naomba namba yake on serious note
Mkuu unataka kumpiku mwenzako jamaninaomba namba yake on serious note
hizi tabia za hivi zinatafutwa sijui anakwama wapi kumuweka mke wa piliMkuu unataka kumpiku mwenzako jamani