Mahusiano na mapenzi yakifikia ukomo; Kumbe kuna wanaume wanaangua kilio hadharani namna hii

Mahusiano na mapenzi yakifikia ukomo; Kumbe kuna wanaume wanaangua kilio hadharani namna hii

yupo vzr, ila kuzaa na mbunge hiyo pia unaanika weakness yake...

ila huyo mc pilipili ni wakawaida, nimesoma nae sijawahi kumkubali kabisa...

kama anataka kupanua soka la mashabki wake, aende aongeze elimu ya sanaa au abadili stail yake ya kigogo ya kuchekesha watu
 
Kwa nini Salman Khan alijifungia ndani mwezi mzima akilia baada ya mpenziwe Aishwarya Rai kufunga ndoa na Abisheck Batcchan!?
Hata sie madume tunaumia na kulia tu, Hatuna moyo wa chuma, Na wala hakunaga komando kwenye chaakulaaa
Duh. Mzee huko vizuri.
 
Na wewe umeamini kua hii ishu ni kweli?uyo kunguni wa kigogo ana project yake itakua angalia kuna picha za harusi fake hadi uyo mgogo yupo pembeni yao yaani hao wapuuzi hawawezi kufanya project bila kutengeneza kiki.
 
Back
Top Bottom