Mahusiano na mapenzi yakifikia ukomo; Kumbe kuna wanaume wanaangua kilio hadharani namna hii

Mahusiano na mapenzi yakifikia ukomo; Kumbe kuna wanaume wanaangua kilio hadharani namna hii

Sasa mpaka nicole kuzaa na mbunge ye pilipili alikuwa anamsubiria tu au,halaf huyo mwinjaku ni nani ? Na wamefunga ndoa ya serikali ama maana sioni shela
Mimi bado siamini ngoja tuvute muda
kwani Mc Pilipili yupo na Rose Ndauka na alimtambulisha km mpenziwe kwa mama yake mzazi na mkuu wa wilaya sasa mkuu wa Mkoa Ruvuma
ni kweli huyu Pilipili alishapata ajali huko Shinyanga naona akimvizia huyu Nicole
sijui jamani kwani Mama Sabrina kwa kioo tu Rose Ndauka kamuacha kwa mbali saaana huyu Nicole sijui Pilipili kaona nini cha zaidi tumuachie alielie
 
Mimi bado siamini ngoja tuvute muda
kwani Mc Pilipili yupo na Rose Ndauka na alimtambulisha km mpenziwe kwa mama yake mzazi na mkuu wa wilaya sasa mkuu wa Mkoa Ruvuma
ni kweli huyu Pilipili alishapata ajali huko Shinyanga naona akimvizia huyu Nicole
sijui jamani kwani Mama Sabrina kwa kioo tu Rose Ndauka kamuacha kwa mbali saaana huyu Nicole sijui Pilipili kaona nini cha zaidi tumuachie alielie
Hawajaachana na rose kwani?halaf kuna siku nilimuona na kidemu kingine jua kali na misuti yake
 
Hawajaachana na rose kwani?halaf kuna siku nilimuona na kidemu kingine jua kali na misuti yake
naona walishaachana kwani Rose aliachana na Malick Bandawe msanii mwenzie baada ya kupata mtoto (kwa Rose ni wa pili) huenda Mc Pilipili huenda yalimshibda pia lkn hata Nicole naye ana mtoto, iliyopo Mc arudi tu Dodoma tumpe mtoto wa kigogo ataishi naye salama, hawa mastaa na kuchangia mabwana haitaisha
 
Tatizo maneno mengii kitandani hovyoo, mtoto kaamua aende anakokunwa vizuri.
 
Back
Top Bottom