Mahusiano sio hitaji pekee mpaka usumbuke nalo kila siku, usisahau pesa pia huna

Mahusiano sio hitaji pekee mpaka usumbuke nalo kila siku, usisahau pesa pia huna

Mwanasayansi Kalivubha

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2024
Posts
344
Reaction score
926
Kuna mtu toka umfahamu yupo na heka heka za mahusiano tu kuanzia maongezi mpaka vitendo ila KI UCHUMI hali yake mbaya

Yawezekana ukawa wewe pia 😊 Mawazo yanayotembea kichwani mwako kwa wingi ni mahusiano tu , unatafuta ubunifu wa mahusiano kwa kasi kubwa zaidi ya unavyotafuta ubunifu kwenye Biashara.

Kama uko hivyo na huna pesa baji jua mahusiano yatazidi kukutesa tu sana

Mahusiano ni hitaji pia la kiumbe hai ila haimaanishi kuwa ni hitaji pekee hivyo bila kujizuia ukalifanya kuwa lenyewe tu ndio hitaji la pekee basi utafanikiwa huko tu ila kwingine mambo yatakuwa magumu sana kwako, kila hitaji lipe kiasi kulingana na wakati na umuhimu wake.

Hata kama wahenga walisema mahusiano sio pesa ila sio sasa ndio uache kutafuta hiyo pesa ukahamia kwenye mahusiano tu , Pesa ni hitaji muhimu pia kwa sababu lazima maisha mengine yaendelee ambayo yanahitaji pesa.

Sio sifa nzuri kumakinika zaidi na upande mmoja tu ilihali kuna mengi huna na ya msingi, kuna muda kweli mahusiano mazuri ndio chanzo cha utajiri ila pia lazima kuwe na kiasi yaani uwe na muda wa kutosha kufikiria pia uboreshaji wa uchumi .

Mwanasayansi Saul kalivubha.
Fikia Ndoto Zako.
 
Kuna mtu toka umfahamu yupo na heka heka za mahusiano tu kuanzia maongezi mpaka vitendo ila KI UCHUMI hali yake mbaya

Yawezekana ukawa wewe pia 😊 Mawazo yanayotembea kichwani mwako kwa wingi ni mahusiano tu , unatafuta ubunifu wa mahusiano kwa kasi kubwa zaidi ya unavyotafuta ubunifu kwenye Biashara.

Kama uko hivyo na huna pesa baji jua mahusiano yatazidi kukutesa tu sana

Mahusiano ni hitaji pia la kiumbe hai ila haimaanishi kuwa ni hitaji pekee hivyo bila kujizuia ukalifanya kuwa lenyewe tu ndio hitaji la pekee basi utafanikiwa huko tu ila kwingine mambo yatakuwa magumu sana kwako, kila hitaji lipe kiasi kulingana na wakati na umuhimu wake.

Hata kama wahenga walisema mahusiano sio pesa ila sio sasa ndio uache kutafuta hiyo pesa ukahamia kwenye mahusiano tu , Pesa ni hitaji muhimu pia kwa sababu lazima maisha mengine yaendelee ambayo yanahitaji pesa.

Sio sifa nzuri kumakinika zaidi na upande mmoja tu ilihali kuna mengi huna na ya msingi, kuna muda kweli mahusiano mazuri ndio chanzo cha utajiri ila pia lazima kuwe na kiasi yaani uwe na muda wa kutosha kufikiria pia uboreshaji wa uchumi .

Mwanasayansi Saul kalivubha.
Fikia Ndoto Zako.
Mahusiano ni uchumi pia, huelewi wapi?
 
Mimi naona kuingia kwenye mahusiano kiingilio kiwe hamna hamna kabisa Milioni 5...........ili watu wawe serious kidogo. Maana unakuta jitu muda wote, oooooh yule manzi ana wowooo zuri, mara oooooh yule mtoto ana mchuchu saa sita, mara kale ka-sheeee kananichezea rafu sana kwenye bedroom........imekuwa too much, sasa mtu wa style hii unafikiri kwenye ubongo wake nini kimetawala?

Kama sio utupu tu wa wanawake.
 
Mtoa mada analalamika kuna watu wanafikiria mahusiano tu, uchumi zero.

Wakati kuna watu uchumi wao unatokana na mahusiano, kwa hivyo, kwao, hakuna tofauti kati ya uchumi na mahusiano.
Hapo nimekuelewa master , mimi binafsi mahusiano ndio yamenifikisha hapa nilipo.
 
Mimi naona kuingia kwenye mahusiano kiingilio kiwe hamna hamna kabisa Milioni 5...........ili watu wawe serious kidogo. Maana unakuta jitu muda wote, oooooh yule manzi ana wowooo zuri, mara oooooh yule mtoto ana mchuchu saa sita, mara kale ka-sheeee kananichezea rafu sana kwenye bedroom........imekuwa too much, sasa mtu wa style unafikiri kwenye ubongo wake nini kimetawala?

Kama sio utupu tu wa wanawake.
Kiingilio kiwepo mkuu ule utamu sio wa nchi hii asee
 
Hebu tupe ramani halafu tupitishe mapito yako tuangalie maokoto njiani huko kama tunaweza kujiongeza na sisi.
Hapana mkuu kwa wewe 😁😁😁 ila mwanamke ndio alinifanya nikaona mwanga kwenye maisha 🤗 na hizo fadhila nimesharudisha na sasa ni mke wa mtu 😁
 
Hapana mkuu kwa wewe 😁😁😁 ila mwanamke ndio alinifanya nikaona mwanga kwenye maisha 🤗 na hizo fadhila nimesharudisha na sasa ni mke wa mtu 😁
Nakuelewa mkuu.

Kama mwanamme hajaipata na kuitumia hiyo nafasi inakuwa kama vile kaacha haki yake fulani ya kikatiba na kubinadamu hivi.
 
Nakuelewa mkuu.

Kama mwanamme hajaipata na kuitumia hiyo nafasi inakuwa kama vile kaacha haki yake fulani ya kikatiba na kubinadamu hivi.
Yani sana mkuu , ukiwaelewa wanawake vizuri unafika mbali mno sijui mimi naonaje lakini🤔
 
Hapana mkuu kwa wewe 😁😁😁 ila mwanamke ndio alinifanya nikaona mwanga kwenye maisha 🤗 na hizo fadhila nimesharudisha na sasa ni mke wa mtu 😁
Kumbe ndo ulivyo🤣🤣🤭
 
Back
Top Bottom