Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nawaheshimu sana wanawake kwanzia mama yangu mpka ma x wangu ndio wanifanya niwe kama nilivyo bila kusahau na binti yangu mdogo 😊Kumbe ndo ulivyo🤣🤣🤭
🤭 Haya bhana...hongeraNdio nawaheshimu sana wanawake kwanzia mama yangu mpka ma x wangu ndio wanifanya niwe kama nilivyo bila kusahau na binti yangu mdogo 😊
Kwa kweliMimi naona kuingia kwenye mahusiano kiingilio kiwe hamna hamna kabisa Milioni 5...........ili watu wawe serious kidogo. Maana unakuta jitu muda wote, oooooh yule manzi ana wowooo zuri, mara oooooh yule mtoto ana mchuchu saa sita, mara kale ka-sheeee kananichezea rafu sana kwenye bedroom........imekuwa too much, sasa mtu wa style hii unafikiri kwenye ubongo wake nini kimetawala?
Kama sio utupu tu wa wanawake.
Nimeizungumzia pia mbonaMtoa mada analalamika kuna watu wanafikiria mahusiano tu, uchumi zero.
Wakati kuna watu uchumi wao unatokana na mahusiano, kwa hivyo, kwao, hakuna tofauti kati ya uchumi na mahusiano.