Mahusiano sio hitaji pekee mpaka usumbuke nalo kila siku, usisahau pesa pia huna

Nje ya box; Wenye mahusiano na vibabu pamoja na mashangazi wanapata PESA kwa njia zote mbili..
 
Kumbe ndo ulivyo🤣🤣🤭
Ndio nawaheshimu sana wanawake kwanzia mama yangu mpka ma x wangu ndio wanifanya niwe kama nilivyo bila kusahau na binti yangu mdogo 😊
 
Kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…