johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwa ufupi kabisa kwa wale CHADEMA pamoja na Tundu Lisu mnaodai Rais Magufuli amefifisha mahusiano na dunia nataka niwakumbushe tu Rais Magufuli amefungua balozi katika nchi nane duniani ikiwemo Israel.
Tunapokosoa jambo tuwe tunaweka na uhalisia wa ukosoaji siyo kukurupuka.
Hata Ethiopia alikoishi Simon wa Kirene imefungua ubalozi wake Tanzania awamu hii ya Rais Magufuli.
Mungu wa mbinguni mbariki Rais Magufuli.
Maendeleo hayana vyama!
Tunapokosoa jambo tuwe tunaweka na uhalisia wa ukosoaji siyo kukurupuka.
Hata Ethiopia alikoishi Simon wa Kirene imefungua ubalozi wake Tanzania awamu hii ya Rais Magufuli.
Mungu wa mbinguni mbariki Rais Magufuli.
Maendeleo hayana vyama!