Mahusiano ya kishenzi kabisa

Mahusiano ya kishenzi kabisa

So mkuu umempa chance ajifunze kukupenda huko mbele kwa mbele asipojifunza siku ukimkuta na anayempenda yeye ukanunue chuma ummwage ubongo siyo?
Kwangunmuhimu asininyime utamu tu ana jmamaa yake ambye ana mapesa kuliko mimi lakini wala sijali tena kuna siku tulipishana mimi natoka na yeye anaingia na gari yake
 
Mkuu kama umekubali hali na hulalamiki hilo halina shida

Shida ni pale mtu hawi unavyotaka na kutwa kulalama kujiliza liza
Wakat na mtongoza aligoma baada ya kumwambia hivyo akasema sawa sasa nikamuuliza una mtu akaniambia unga tele utajua mbele ya safari kwahio nimetulia na sina wivu wakijinga labda aniletee zarau nikiwa nae hapo lazima ninraect
 
Wakat na mtongoza aligoma baada ya kumwambia hivyo akasema sawa sasa nikamuuliza una mtu akaniambia unga tele utajua mbele ya safari kwahio nimetulia na sina wivu wakijinga labda aniletee zarau nikiwa nae hapo lazima ninraect
Hayo mahusiano kwangu ndiyo nayaona kuwa yamekamilika

Yamejengwa based on mutual understanding, safi kabisa

Kwahiyo hapo lolote likikukuta hauna bima 🤣
 
Hii expectation ya kujibiwa message na kupokelewa simu on the spot ndio kiama cha mahusiano mengi.

Mpe mtu space, muwazie mema. Jipe amani ya moyo. Atakurudia muda ambao ni convenient
Atakurudia muda ambao ni convenient kukuletea gono na magonjwa mengineyo, NO ATTENTION NO LOVE, usikae ukasubiri maumivu na muda unasogea.
Absolutely na mahusiano yanapaswa kuwa hivi

Unakuta mtu anachat na mpenziwe hajibu text ila anaingia online😂

Akiulizwa mbona hurespond eti anasema hawezi multi task, akiingia Tikitoku hawezi jibu text

Mimi nawaambia achana na hiyo mutu hawataka visingizio kibao

Basi lower your expectations ila wapii

Kutwa kulalamika
Hivi huo muda wa kuanza kuulizia response ya mtu kwako mnautoa wapi? Hapa ndio unapomuandaa mtu kukunafkia. Mimi nipo hivi, nikikutafuta usiporespond hutoona nakutafuta tena mpaka unitafute.
 
Atakurudia muda ambao ni convenient kukuletea gono na magonjwa mengineyo, NO ATTENTION NO LOVE, usikae ukasubiri maumivu na muda unasogea.

Hivi huo muda wa kuanza kuulizia response ya mtu kwako mnautoa wapi? Hapa ndio unapomuandaa mtu kukunafkia. Mimi nipo hivi, nikikutafuta usiporespond hutoona nakutafuta tena mpaka unitafute.
Hii ndio yenyewe
 
Atakurudia muda ambao ni convenient kukuletea gono na magonjwa mengineyo, NO ATTENTION NO LOVE, usikae ukasubiri maumivu na muda unasogea.
Okay

Mimi nipo hivi, nikikutafuta usiporespond hutoona nakutafuta tena mpaka unitafute.
Una kumbukumbu ya muda mfupi sana.

Au kuna tofauti gani kati ya nilichokisema cha mtu kukurudia when it is convenient na ulichokisema kuwa asiporespond utasubiri mpaka akutafute?
 
Okay


Una kumbukumbu ya muda mfupi sana.

Au kuna tofauti gani kati ya nilichokisema cha mtu kukurudia when it is convenient na ulichokisema kuwa asiporespond utasubiri mpaka akutafute?
umtafute mtu leo aje akujibu baada ya wiki tena akiwa na shida zake na ni mpenzi wako, kuna mapenzi hapo? Hiyo convenient baada ya muda mrefu kupita ndio utofauti ulipo, na ndani ya huo muda yanafanyika mengi ambayo yanaweza kuleta madhara kwako na ndio yanayoua attention.
 
umtafute mtu leo aje akujibu baada ya wiki tena akiwa na shida zake na ni mpenzi wako, kuna mapenzi hapo? Hiyo convenient baada ya muda mrefu kupita ndio utofauti ulipo, na ndani ya huo muda yanafanyika mengi ambayo yanaweza kuleta madhara kwako na ndio yanayoua attention.
Hicho kipengele cha muda mrefu kupita amekiweka nani?

Mimi nimeongelea message kujibiwa au simu kupokelewa on the spot.
 
Najua hali ni mbaya sana hamna haja ya salamu

Wakuu nimesoma nyuzi nyingi na nimezungumza na watu wengi nimegundua kuwa kuna asilimia kubwa ya watu wapo kwenye mahusiano lakini mahusiano hayo ni Toxic

Acha wale wenzetu wa kuchukua sheria mkononi, wale wa kuangalia video za porn na wale wanaonunua huduma ya ngono kuna hawa watu wanaume kwa wanawake kwa sababu mbalimbali wamejikuta kwenye hayo wanayoyaita mahusiano lakini hawana raha, hawana furaha, wamechunda wakachurura

Wanatuma msg hawajibiwi, wakijibiwa wanacheleweshwa kwa visingizio lukuki
Simu zao hazipokelewi, na muda mwingine zinapokelewa wapenzi wao wakiwa katikati ya game na mtu mwingine (asee😂)
Wanablockiwa😂 (yani una mpenzi na anakubloku)

Na mengine mtaongezea

Lengo la uzi huu ni kuwakumbusha kuwa mahusiano hayo ni Toxic, ya kishenzi, hayakufai kwa ustawi wako wala wa mtu mwingine

Muache huyo mtu asee muacheee,

Achaneni muishi kwa amani

There’s more to life than these Toxic-Exploitative so-called relationship!

Kataa unyonyaji, Kataa Toxic Relationship

View attachment 2499927
Ndio utamu wenyewe wa mapenzi
 
.
JamiiForums705121029.jpg
 
Back
Top Bottom