Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Hii kitu isikie tu kwa wengine aiseena muda mwingine zinapokelewa wapenzi wao wakiwa katikati ya game na mtu mwingine (asee😂)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kitu isikie tu kwa wengine aiseena muda mwingine zinapokelewa wapenzi wao wakiwa katikati ya game na mtu mwingine (asee😂)
Hivi mtu hajibu sms zako, kisha baadaye ukampata na kumpakata, kisha akaanza kulia kwa kutamka maneno hayo akiwa juu ya kinena chako mkuu, utaendelea kutokumuamini kwa kuwa tu harespond ma msg na call zako?That’s exactly what i am trying to convey here
People gave up their liberty in the name of the so-called relationship
So stupid, its time for people to reclaim their liberty asee
Ila kuna watu wanachekesha sana😂😂
Eti utasikia “i can not imagine my life without you/him/her”
WTF! 🤬
Najua hali ni mbaya sana hamna haja ya salamu
Wakuu nimesoma nyuzi nyingi na nimezungumza na watu wengi nimegundua kuwa kuna asilimia kubwa ya watu wapo kwenye mahusiano lakini mahusiano hayo ni Toxic
Acha wale wenzetu wa kuchukua sheria mkononi, wale wa kuangalia video za porn na wale wanaonunua huduma ya ngono kuna hawa watu wanaume kwa wanawake kwa sababu mbalimbali wamejikuta kwenye hayo wanayoyaita mahusiano lakini hawana raha, hawana furaha, wamechunda wakachurura
Wanatuma msg hawajibiwi, wakijibiwa wanacheleweshwa kwa visingizio lukuki
Simu zao hazipokelewi, na muda mwingine zinapokelewa wapenzi wao wakiwa katikati ya game na mtu mwingine (asee😂)
Wanablockiwa😂 (yani una mpenzi na anakubloku)
Na mengine mtaongezea
Lengo la uzi huu ni kuwakumbusha kuwa mahusiano hayo ni Toxic, ya kishenzi, hayakufai kwa ustawi wako wala wa mtu mwingine
Muache huyo mtu asee muacheee,
Achaneni muishi kwa amani
There’s more to life than these Toxic-Exploitative so-called relationship!
Kataa unyonyaji, Kataa Toxic Relationship
View attachment 2499927
AlaaNdio utamu wenyewe wa mapenzi
Kuna siku jamaa alipokelewa simu na demu niliyekuwa namkazaHii kitu isikie tu kwa wengine aisee
Binafsi imani kwa hawa viumbe sina, regardleeHivi mtu hajibu sms zako, kisha baadaye ukampata na kumpakata, kisha akaanza kulia kwa kutamka maneno hayo akiwa juu ya kinena chako mkuu, utaendelea kutokumuamini kwa kuwa tu harespond ma msg na call zako?
Hii ni kweli mkuu maana in every general rule there’s an exceptionSaivi imekuwa tena "KATAA MAHUSIANO" Anyway for my side huwa naamini katika bahati,,,hata kwenye mahusiano pia ukibahatika kupata mwanamke wa ndoto zako,,hayo ya kuumizwa na kulia lia hovyo ni nadra kukupata..zaidi ya vi-conflicts vidogo vidogo tu.
Hiyo ni njia salama zaidiUkipenda umeliwa,me napenda **** ya mtu tu!Mambo ya mahaba niuwe nimewaachia wanayoyaweza.
Acha tu jamaa usikute anahudumia kabisaKuna siku jamaa alipokelewa simu na demu niliyekuwa namkaza
Nilimfeel sana jamaa kaka
Ni kweli mkuu ni kweli watakua wanamkazagaAcha tu jamaa usikute anahudumia kabisa
Kuna manzi namkazaga yeye tabia yake ni kutopokea simu za wanaume wake nikiwa namkaza.
Basi na mimi asipopokea yangu huwa nahisi kuna njemba nyingine inamkaza
Mwanamke usimwamini hata siku moja na wala usimwonee huruma hawa viumbe ni wajanja wajanja sana na waongo.
Kwa kuwa sihudumii huwa hainiumi maana mimi nikiwa tu na mizuka namvutia waya kama yuko free siku hiyo namega hayupo free atanipanga siku ana nafasiNi kweli mkuu ni kweli watakua wanamkazaga
Sakasaka Mao screenshot huu ujumbe, ka print na usisahau kupiga laminesheniMwanamke usimwamini hata siku moja na wala usimwonee huruma hawa viumbe ni wajanja wajanja sana na waongo.
Mwanamume tumia akili na usitumie hisia unapodili na wanawake
No strings attached, what a happy life!Kwa kuwa sihudumii huwa hainiumi maana mimi nikiwa tu na mizuka namvutia waya kama yuko free siku hiyo namega hayupo free atanipanga siku ana nafasi
💯🤝 treat her like a bitch then 🚮Sakasaka Mao screenshot huu ujumbe, ka print na usisahau kupiga laminesheni
Usimuonee huruma mwanamke
They are very very very manipulative, you gotta be strong as a damn boot to win them
Mimi binafsi ni shabiki wa kash kash ila za watu niliozungumza nao zimekua kero si kashkash tenaRaha ya mapenzi kuwe na kashkash
Unaweza kuhimili kashkash ya mpenzi anayekucheat?Raha ya mapenzi kuwe na kashkash
And trust me bro they love it!💯🤝 treat her like a bitch then 🚮