Mahusiano ya kishenzi kabisa

Mahusiano ya kishenzi kabisa

That’s exactly what i am trying to convey here

People gave up their liberty in the name of the so-called relationship

So stupid, its time for people to reclaim their liberty asee

Ila kuna watu wanachekesha sana😂😂

Eti utasikia “i can not imagine my life without you/him/her”
WTF! 🤬
Hivi mtu hajibu sms zako, kisha baadaye ukampata na kumpakata, kisha akaanza kulia kwa kutamka maneno hayo akiwa juu ya kinena chako mkuu, utaendelea kutokumuamini kwa kuwa tu harespond ma msg na call zako?
 
Najua hali ni mbaya sana hamna haja ya salamu

Wakuu nimesoma nyuzi nyingi na nimezungumza na watu wengi nimegundua kuwa kuna asilimia kubwa ya watu wapo kwenye mahusiano lakini mahusiano hayo ni Toxic

Acha wale wenzetu wa kuchukua sheria mkononi, wale wa kuangalia video za porn na wale wanaonunua huduma ya ngono kuna hawa watu wanaume kwa wanawake kwa sababu mbalimbali wamejikuta kwenye hayo wanayoyaita mahusiano lakini hawana raha, hawana furaha, wamechunda wakachurura

Wanatuma msg hawajibiwi, wakijibiwa wanacheleweshwa kwa visingizio lukuki
Simu zao hazipokelewi, na muda mwingine zinapokelewa wapenzi wao wakiwa katikati ya game na mtu mwingine (asee😂)
Wanablockiwa😂 (yani una mpenzi na anakubloku)

Na mengine mtaongezea

Lengo la uzi huu ni kuwakumbusha kuwa mahusiano hayo ni Toxic, ya kishenzi, hayakufai kwa ustawi wako wala wa mtu mwingine

Muache huyo mtu asee muacheee,

Achaneni muishi kwa amani

There’s more to life than these Toxic-Exploitative so-called relationship!

Kataa unyonyaji, Kataa Toxic Relationship

View attachment 2499927
 
Hivi mtu hajibu sms zako, kisha baadaye ukampata na kumpakata, kisha akaanza kulia kwa kutamka maneno hayo akiwa juu ya kinena chako mkuu, utaendelea kutokumuamini kwa kuwa tu harespond ma msg na call zako?
Binafsi imani kwa hawa viumbe sina, regardlee

Sijui Mzee wa kupambania ana lipi la kusema
 
Saivi imekuwa tena "KATAA MAHUSIANO" Anyway for my side huwa naamini katika bahati,,,hata kwenye mahusiano pia ukibahatika kupata mwanamke wa ndoto zako,,hayo ya kuumizwa na kulia lia hovyo ni nadra kukupata..zaidi ya vi-conflicts vidogo vidogo tu.
Hii ni kweli mkuu maana in every general rule there’s an exception
 
Mwanamke usimwamini hata siku moja na wala usimwonee huruma hawa viumbe ni wajanja wajanja sana na waongo.

Mwanamume tumia akili na usitumie hisia unapodili na wanawake
Sakasaka Mao screenshot huu ujumbe, ka print na usisahau kupiga laminesheni

Usimuonee huruma mwanamke

They are very very very manipulative, you gotta be strong as a damn boot to win them
 
Raha ya mapenzi kuwe na kashkash
Mimi binafsi ni shabiki wa kash kash ila za watu niliozungumza nao zimekua kero si kashkash tena

Hakuna kashkash za kujibiwa text baada ya wiki😂

Au kublokiwa usiku bila sababu tena baada ya miadi ya kuongea


Hiyo ni mateso bila maumivu
 
Back
Top Bottom