Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Kwangunmuhimu asininyime utamu tu ana jmamaa yake ambye ana mapesa kuliko mimi lakini wala sijali tena kuna siku tulipishana mimi natoka na yeye anaingia na gari yakeSo mkuu umempa chance ajifunze kukupenda huko mbele kwa mbele asipojifunza siku ukimkuta na anayempenda yeye ukanunue chuma ummwage ubongo siyo?
Wakat na mtongoza aligoma baada ya kumwambia hivyo akasema sawa sasa nikamuuliza una mtu akaniambia unga tele utajua mbele ya safari kwahio nimetulia na sina wivu wakijinga labda aniletee zarau nikiwa nae hapo lazima ninraectMkuu kama umekubali hali na hulalamiki hilo halina shida
Shida ni pale mtu hawi unavyotaka na kutwa kulalama kujiliza liza
Hayo mahusiano kwangu ndiyo nayaona kuwa yamekamilikaWakat na mtongoza aligoma baada ya kumwambia hivyo akasema sawa sasa nikamuuliza una mtu akaniambia unga tele utajua mbele ya safari kwahio nimetulia na sina wivu wakijinga labda aniletee zarau nikiwa nae hapo lazima ninraect
Safi sanaaa😂Kwangunmuhimu asininyime utamu tu ana jmamaa yake ambye ana mapesa kuliko mimi lakini wala sijali tena kuna siku tulipishana mimi natoka na yeye anaingia na gari yake
Atakurudia muda ambao ni convenient kukuletea gono na magonjwa mengineyo, NO ATTENTION NO LOVE, usikae ukasubiri maumivu na muda unasogea.Hii expectation ya kujibiwa message na kupokelewa simu on the spot ndio kiama cha mahusiano mengi.
Mpe mtu space, muwazie mema. Jipe amani ya moyo. Atakurudia muda ambao ni convenient
Hivi huo muda wa kuanza kuulizia response ya mtu kwako mnautoa wapi? Hapa ndio unapomuandaa mtu kukunafkia. Mimi nipo hivi, nikikutafuta usiporespond hutoona nakutafuta tena mpaka unitafute.Absolutely na mahusiano yanapaswa kuwa hivi
Unakuta mtu anachat na mpenziwe hajibu text ila anaingia online😂
Akiulizwa mbona hurespond eti anasema hawezi multi task, akiingia Tikitoku hawezi jibu text
Mimi nawaambia achana na hiyo mutu hawataka visingizio kibao
Basi lower your expectations ila wapii
Kutwa kulalamika
Ilikua ni hapo mwanzo Mungu alipouumba ulimwengu ila sio sasa. 😂😂
Hii ndio yenyeweAtakurudia muda ambao ni convenient kukuletea gono na magonjwa mengineyo, NO ATTENTION NO LOVE, usikae ukasubiri maumivu na muda unasogea.
Hivi huo muda wa kuanza kuulizia response ya mtu kwako mnautoa wapi? Hapa ndio unapomuandaa mtu kukunafkia. Mimi nipo hivi, nikikutafuta usiporespond hutoona nakutafuta tena mpaka unitafute.
OkayAtakurudia muda ambao ni convenient kukuletea gono na magonjwa mengineyo, NO ATTENTION NO LOVE, usikae ukasubiri maumivu na muda unasogea.
Una kumbukumbu ya muda mfupi sana.Mimi nipo hivi, nikikutafuta usiporespond hutoona nakutafuta tena mpaka unitafute.
Ukijiendekeza tu kuwa goi goi kwenye mahusiano umekwisha, kuteseka nimeshaacha mkuuHapohapo mkuu,
Disengage your emotions, huyo wa mizengwe piga chini
Usikubali moyo uteseke😂
umtafute mtu leo aje akujibu baada ya wiki tena akiwa na shida zake na ni mpenzi wako, kuna mapenzi hapo? Hiyo convenient baada ya muda mrefu kupita ndio utofauti ulipo, na ndani ya huo muda yanafanyika mengi ambayo yanaweza kuleta madhara kwako na ndio yanayoua attention.Okay
Una kumbukumbu ya muda mfupi sana.
Au kuna tofauti gani kati ya nilichokisema cha mtu kukurudia when it is convenient na ulichokisema kuwa asiporespond utasubiri mpaka akutafute?
Hicho kipengele cha muda mrefu kupita amekiweka nani?umtafute mtu leo aje akujibu baada ya wiki tena akiwa na shida zake na ni mpenzi wako, kuna mapenzi hapo? Hiyo convenient baada ya muda mrefu kupita ndio utofauti ulipo, na ndani ya huo muda yanafanyika mengi ambayo yanaweza kuleta madhara kwako na ndio yanayoua attention.
Umesema kweli tupu mkuuUkijiendekeza tu kuwa goi goi kwenye mahusiano umekwisha, kuteseka nimeshaacha mkuu
Ndio utamu wenyewe wa mapenziNajua hali ni mbaya sana hamna haja ya salamu
Wakuu nimesoma nyuzi nyingi na nimezungumza na watu wengi nimegundua kuwa kuna asilimia kubwa ya watu wapo kwenye mahusiano lakini mahusiano hayo ni Toxic
Acha wale wenzetu wa kuchukua sheria mkononi, wale wa kuangalia video za porn na wale wanaonunua huduma ya ngono kuna hawa watu wanaume kwa wanawake kwa sababu mbalimbali wamejikuta kwenye hayo wanayoyaita mahusiano lakini hawana raha, hawana furaha, wamechunda wakachurura
Wanatuma msg hawajibiwi, wakijibiwa wanacheleweshwa kwa visingizio lukuki
Simu zao hazipokelewi, na muda mwingine zinapokelewa wapenzi wao wakiwa katikati ya game na mtu mwingine (asee😂)
Wanablockiwa😂 (yani una mpenzi na anakubloku)
Na mengine mtaongezea
Lengo la uzi huu ni kuwakumbusha kuwa mahusiano hayo ni Toxic, ya kishenzi, hayakufai kwa ustawi wako wala wa mtu mwingine
Muache huyo mtu asee muacheee,
Achaneni muishi kwa amani
There’s more to life than these Toxic-Exploitative so-called relationship!
Kataa unyonyaji, Kataa Toxic Relationship
View attachment 2499927
Wanaume mmezidi kulialia aiseeSaivi imekuwa tena "KATAA MAHUSIANO" Anyway for my side huwa naamini katika bahati,,,hata kwenye mahusiano pia ukibahatika kupata mwanamke wa ndoto zako,,hayo ya kuumizwa na kulia lia hovyo ni nadra kukupata..zaidi ya vi-conflicts vidogo vidogo tu.
Mzee unajikubali. Big upSasa kwa mfano mimi aliniambia anipendi nikamwambia kuhusu wewe kunipenda mimi haina shida mimi nikikupenda tu inatosha basi kwahio nimejitakia mwenyewe na nimetidhika na hali utaniambia nini nikuelewe
Huo ndio utamu wenyewe na kamwe hawaziachiHizo ndoa ndio usiseme mkuu
Hali ni mbaya sana sana sana
Watu wanaishi ni kama wapo single, watu hawana raha, furaha haipo, amani ya moyo haipo huko paache kabisa mkuu
Baadhi,,acha kuniingiza kwenye hilo group,,sijawahi lizwa na haitakuja kutokea.Wanaume mmezidi kulialia aisee