Endelea na dozi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ahahahah ila umeona mengi sana na huyo mlifika wapi?
Maana kila bebe ya jf ilikuwa ikinitolea nje.
asante kaka angu,soon nitakutambulishaMdogo wangu, kumbeeee....hongera sana!
Usihofu siwezi kuacha kutafuna Big G yangu kwa karanga za kuonjeshwa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ngoja uwe na mimi uone watakavyojigonga
D bwanaBasi sawa utanipa piem shogare [emoji3059][emoji3059]
aisee, hongerawangu tulikutana hapa jf,first time tunakutana tulikuwa ilikuwa nikama watu waliojuana kwa miaka an it's all b'coz ya uhuru tuliokuwa nao,kuwekana wazi,mawasiliano mazuri,tulijiachia sana japo nikupitia simu ila ilifanya tukazoeana zaidi na nakurudhiana!!siku tulipoonana ana kwa ana tuliishia kutimiza wishes zetu zote na ilikuwa nisiku yakipekee kuwahi kutokea,,namshukuru mungu sasa ni mume wangu,itoshe tu kusema nampenda sana baba T
thnx bestieaisee, hongera
Nitafurahi sana!!asante kaka angu,soon nitakutambulisha
Tupe short story ilikuwaje?Mtu wa kunipigia simu anionyeshe vitu vya ajabu naenda naye wapi??? Zaidi ya kumpa block.
Mimi mtu pekee niliyekutana naye mtandaoni ni babe wangu wa siku zote…………?!!
wiiiiiiifiiiiiiii,Nakusikiliza wewe babe, kwanza video call muhimu nijiridhishe nisije kumeet na blaza K [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahaha umenikumbusha Zai na stories zake[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Au story za kijiwe nogwa kwa Zai.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Zai yule hafai kabisa...Hahahaha umenikumbusha Zai na stories zake
Usihofu siwezi kuacha kutafuna Big G yangu kwa karanga za kuonjeshwa.
D bwana
Tupe short story ilikuwaje?