Unaomba hela ili iweje 🤣! MjitegemeeWazoefu watupe somo jamani, hela unaanzaje kuomba, kuna raia hawajiongezi, tumechoka kukopwa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Vile visendo vina ubaya gani🤣Wala tusiende mbali mama.... Me nipo kwaajili yako. Ila tu angalizo siku ya meeting usivae vile visendo vya manyoya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ulikutana na "tuongee kiume"Nlipataga mama humu moja
Comments za kipisi kali kingereza mingi
nikaona ewaa mtoto kaja Dm tukaongea mwsho namba zikatoka
Kwenda whatsap nkamtumia picha tufahamiane (that was a grave mistake)
Ving'ora vikaanza Wow wow wow
Kuja kutuma yeye nikabaki hiiiih
Sikuamini nkampgia video call La haula almanusura ntupe simu
Sjui yupo wapi saivi Aggy wa jukwaa la entertainment
Kutongoza demu wa jf ni kama kuchopeka mkono gizani. Unaeza ibua pisi au ukaibuka na mgebuka🤣 ila walevi wasinywe wasije kutoa siri za watu.Same to me 🤣
Nitarudi
HahahahahahaNi mwendo wa shuhuda tu😀😀
Hadithi nzuriEnzi za Facebook imetaradadi
Nilipost kapicha kangu by that time ndyo nmemaliza advance nasubiri kwenda chuo
Mkaka mmoja akaja messenger tukaanza kuchat chat
Simu niliyokuwa nayo ikaharibika nikawa naenda kwa jirani nachat weee halafu narudisha simu
Siku hiyo akaniomba no ya simu nilikuwa na kitochi
Mahaba yakahamia huko
Tulikuwa tunachat na kuongea the whole night
Enzi za chombeza time tunaongea sanaaa
Yeye alikuwa yupo kilimanjaro Same ni muhasibu wa chuo fulani mimi nipo Arusha.
Wakati naaply chuo akasisitiza niombe vyuo vya kilimanjaro ili tuwe karibu..
Nikawzaa nimesoma kilimanjaro na Arusha kwanzia chekechea hadi advance na chuo nisome kilimanjaro......nikamuitikia tu ila vyuo nikaomba Dar
Hapo hatujawahi onana ila tumeiva kwenye hubaa na maokoto alikuwa anatuma hadi pesa ya kuapply alinitumia nikaibana maana nilikuwa na mama akalipa
Nikachaguliwa chuo dar.. alimind sana kwamba nmefanya makusudi
Baadae tukapatana vizuri hadi siku naenda Dar tukachaguliana hadi nguo za kuvaa🤣🤣🤣
Nmefika chuo tukaendelea ila nikaona changes kwake
Kumbe kule nilikokuwa Naazima simu Kuna siku sikulogout huyo dada akaiba namba za simu kwenye chats za messenger wapo wanachat
Akampa uongo kibao kuhusu mimi hadi bwana yule akanichukiaa mwishowe tukaachana bila kuonana
Ikapita miaka bwana yule akanitafuta maana sijawahi badilisha number ndyo kunipa mkanda mzima alivyochat na jirani yangu hadi wakakutana na kunyaduana 😀😀😀
Akaomba turudiane hapo nshapata mupenzi nikamkatalia....sijui yupo wapi Johnson jamani 😆😆😆
Nimecheka, Muha kajiongeza[emoji28][emoji28][emoji28]
Ulikutana na nini hadi tuanze kukupa maji Cute[emoji3][emoji3]
[emoji38]acha wivu
Kutongoza demu wa jf ni kama kuchopeka mkono gizani. Unaeza ibua pisi au ukaibuka na mgebuka[emoji1787] ila walevi wasinywe wasije kutoa siri za watu.
Nlipataga mama humu moja
Comments za kipisi kali kingereza mingi
nikaona ewaa mtoto kaja Dm tukaongea mwsho namba zikatoka
Kwenda whatsap nkamtumia picha tufahamiane (that was a grave mistake)
Ving'ora vikaanza Wow wow wow
Kuja kutuma yeye nikabaki hiiiih
Sikuamini nkampgia video call La haula almanusura ntupe simu
Sjui yupo wapi saivi Aggy wa jukwaa la entertainment
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ulikutana na "tuongee kiume"
😂😂Kutongoza demu wa jf ni kama kuchopeka mkono gizani. Unaeza ibua pisi au ukaibuka na mgebuka🤣 ila walevi wasinywe wasije kutoa siri za watu.
Humu ndani kuna vituko sana 🤣Kutongoza demu wa jf ni kama kuchopeka mkono gizani. Unaeza ibua pisi au ukaibuka na mgebuka🤣 ila walevi wasinywe wasije kutoa siri za watu.
shemeji yangu hajambo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaishe shots
shemeji yangu hajambo