Mahusiano ya mtandaoni

🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ulikutana na "tuongee kiume"
 
Hadithi nzuri
 
Naanza kuelewa sasa mahusiano yanayoanzaga kwa kuwapa hela hawa viumbe ni njia rahisi ya ulaghai kwa kuwa ndiyo njia ya kula pisi yoyote ya kibongo... Kinachonishangaza kwanini wana hutumia njia hii ndefu? Ni kwanini asiombe dau tu na kumalizana fastafasta
 
STORY 2
Huyu tulikutana kwenye email
Nilikuwa namtumia yeye kuhusu kazi flani kwenye kampuni X
Sasa yeye alikuwa nje ya nchi
Tulitumiana email kadhaa kuhusu kazi baadae akachukua no yangu kwenye email
Siku sina hili wala lile akanicheki akajitambulisha vizuri tukawa tunachat ila hakupenda video call
Tukaenda hivyo hadi December 2018 akaja Tanzania akaomba tuonane
Nikajikoki mwenyewe vile naenda kuonana na mtu wa abroad asije kuniona wa kuja🤣🤣🤣
Tumekutana Capetown pale masaki
Mama weeee nilijuta
Kaka ni yupo very rough kavaa kama konda wa daladala za mbagala mchafuuu hutajua katoka German huko na PhD yake
Nilikuwa very disappointed maskini....nikaja kugundua ni mtu fulani amesoma sana hadi kama anapitiliza anazingatia sana mambo ya kazi kuliko vingine....nilishukuru aliniletea zawadi ya saa nzuri sana ninayo hadi leo....
Sikutaka kukatisha mawasiliano hadi ameenda German tunawasiliana hadi leo ila we don't date nilimdanganya Nina mpenzi 🤣🤣🤣
 
Baada ya kusoma visa vingi humu nimegundua Vijana mmerahisishiwa sana maisha ya mahusiano na TEHAMA.

Ukiwa serious, unaweza kupata Mke au Mume humu humu mitandaoni, muhimu mjue lengo la mahusiano yenu ni yapi.

Kuna wakati hadi natamani Umri ungerudi nyuma kidogo walau namimi nijaribu kutupia Vocal huko PM walau nipate cha kuhadithia, lakini kwa umri huu wa miaka 78 Mdada gani atakubali kukutana na Mzee wa Umri wangu, Mvi za kutosha kichwani, Sura ina makunyazi, na hii miwani yangu mikubwa ya macho jamani si atasema namtisha 🤪
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] best njoo umalizie story

Uliibuka na Mmongolii dadeq
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…