tobaaa[emoji44][emoji2960][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Shemeji yako natakiwa nimuandae kisaikolojia hachelewi kukutongoza [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
WeeeeeUmenigusa, ngoja niweke shuhuda. Mm nlicomment page fulan ambapo mtu alkua anatafuta mke. Kaweka kigezo asiwe kibonge. Basi nikacomment akitokea anayetaka vibonge mnishtue. Watu wakalike wakacheka palee. Nakuta dm asalaam aleykum ndo nmekuja. Nkaulza wap mana kama wiki imepta skumbuk ni about post. Akasema si ulisema wanaotaka vibonge waje ndo nmekuja. Nkachukulia masihara nkamwambia asinitanie nkawaza kaz yake m na watu wanaojulikana wap na wap. Nkahisi atakua mtu wa club etc loh asalalee. Thank God nlimpa namba. Chat sana sku tunaonana nlkua na butterflies tumbon balaa sijiamin. Aliponikiss uwii[emoji39] best kisser. Kama aliona hofu yang ilichukua mwez ndo akala tunda. He is so caring. Sijawah pendwa vile toka nazaliwa. Mapepe yote nimeacha. Mungu alinde penzi letu inshallah. Asante insta
wewe hata tips hazitasaidiaKumbe shogare ulifanikiwa kupata kibonge wako na hukutupa tips wenzio khaaaaaaa!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12]
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Mambo haya ni imani jamani
Hii kali kmmmk[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nakupigia video call upokee sasa
tobaaa[emoji44][emoji2960]
wewe hata tips hazitasaidia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Tunaingia live, sitaki kupigwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umekomaa namimi kweli na nina smart kitochi 🤣Tuone km yaliyomo yamo? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kama ile kitchen part haikukusaidia mimi nisemaje sasa,kaka wa watu alikufunda hadi akaahidi vyombo ila wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119] shouga had wewe!!!
Umekomaa namimi kweli na nina smart kitochi [emoji1787]
kama ile kitchen part haikukusaidia mimi nisemaje sasa,kaka wa watu alikufunda hadi akaahidi vyombo ila wapi
Tatizo hilo 🤣 we unatumia macho matatu unahisi kila mtu anayo!Zile picha ulizotuma mbona km camera ya iPhone [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
dyadya hata sisi wakongweYule ndio mara ya kwanza kaanza mizagamuo ndiomana kila mtu anataka kumpa kitchen party, tumpe muda atakuja na bango la kulaani mapenzi
Chukua chupa zima la tequila, bill on me cute😀Nipe shots moja nikate wenge ndio tuzungumze shosti [emoji12]
Tatizo hilo [emoji1787] we unatumia macho matatu unahisi kila mtu anayo!
dyadya hata sisi wakongwe